Mpigamimba
Senior Member
- Nov 26, 2022
- 198
- 237
Apewe tu. Nchi zilizoendelea zilipata watu kama mtaka zikatoka kwenye ubabaishaji, unyonyaji wa wenyewe Kwa wenyewe.
Mnasema hizi nchi zina amani. Amani ni nini? Ni kutopigana tu?
Nchi nyingi maskin Zina umaskin uliokithiri na ndio ukosefu wa amani wenyewe.
Viongozi waliostaafu wanaongea ongea wanataka au wanalimda nini?
Kila anayetetea tea, Linda Linda anakitu ana maslahi nacho.
Kwanini hawatuoneshi kwamba wanapata shida ya umeme ka lma sisi,maji wanapata shida kama sisi, foleni Wana cing'ora, je wanapita barabara mbovu kama zetu? Wanaumwa na kufa mfulululizo hospitalin kama sisi au Hadi kisukari kikiwazidi.
Kuwajengea walimu nyumba ni uongo mweupe. Kwa nini wakati wanawajengea wasiwape house allowance. Je ni kweli watawajengea walimu nchi nzima?
Posho kwao Kwa wa chini ni anasa.
Wataisoma nambaaa eee ..... mbele Kwa mbeleeee. ,£¢€¥¶∆#$@&¢~√π¶
Mnasema hizi nchi zina amani. Amani ni nini? Ni kutopigana tu?
Nchi nyingi maskin Zina umaskin uliokithiri na ndio ukosefu wa amani wenyewe.
Viongozi waliostaafu wanaongea ongea wanataka au wanalimda nini?
Kila anayetetea tea, Linda Linda anakitu ana maslahi nacho.
Kwanini hawatuoneshi kwamba wanapata shida ya umeme ka lma sisi,maji wanapata shida kama sisi, foleni Wana cing'ora, je wanapita barabara mbovu kama zetu? Wanaumwa na kufa mfulululizo hospitalin kama sisi au Hadi kisukari kikiwazidi.
Kuwajengea walimu nyumba ni uongo mweupe. Kwa nini wakati wanawajengea wasiwape house allowance. Je ni kweli watawajengea walimu nchi nzima?
Posho kwao Kwa wa chini ni anasa.
Wataisoma nambaaa eee ..... mbele Kwa mbeleeee. ,£¢€¥¶∆#$@&¢~√π¶