Huyu Askari alitusaidia sana kusimamia misingi na haki

Huyu Askari alitusaidia sana kusimamia misingi na haki

Chanda chema huvikwa pete ,
Huo ni msemo wa wahenga.

Huyu mama askari polisi alitusaidia sana kwa kusimamia misingi na haki akiwa OCD katika wilaya mojawapo hapa Dar.

Hakuwa mtetezi wa waharifu,hakuhalalisha rushwa wala kumung'unya maneno.

Chonde chonde mama Samia tuletee huyu mama atuvushe.View attachment 1842853
Syndicate,

Kama anayasema hayo maana yake hao askari wapo, kama wapo alitakiwa kuwamaliza hukohuko, kusimama kwenye media na kuyasema hayo anayosema kunge sound zaidi enzi za Mwendazake
 
Syndicate,

Kama anayasema hayo maana yake hao askari wapo, kama wapo alitakiwa kuwamaliza hukohuko, kusimama kwenye media na kuyasema hayo anayosema kunge sound zaidi enzi za Mwendazake
Hicho kikao kilifanyika wakati wa utawala wa mwendazake
 
Sidhani kama ccm inataka watu weledi kama hawa
Mkuu hayo yote ni maneno tupu, mimi huwa naamini zaidi kwenye vitendo kuliko sauti za majukwaani, ukitazama waliokaa naye hapo wapo na business zao ni kama hawana time naye
 
Shida utakuta watu kama akina Suzzane Kaganda wanapigwa vita kuanzia ndani ya jeshi la police lenyewe.Ila huyu mama anafaa kuwa IGP wa kwanza wa kike
Tuanze kwa kuuliza, amekamata na kuwaweka ndani askari wala rushwa wangapi? Sitaki kuamini kwamba huko aliko hakuna traffic police, na kama wapo, ati hawasafishi viatu, na kama wanasafisha basi hiyo kiwi ni yao binafsi
 
Tuanze kwa kuuliza, amekamata na kuwaweka ndani askari wala rushwa wangapi? Sitaki kuamini kwamba huko aliko hakuna traffic police, na kama wapo, ati hawasafishi viatu, na kama wanasafisha basi hiyo kiwi ni yao binafsi
Swala la Traffic kulwa rushwa liko kimfumo zaidi,kiasi kwa cheo na madaraka yake hawezi kuwa na mamlaka ya kulizuia hata kama anatamani iwe hivyo.Na kusema huko aliko labda hujui kwa mfumo wa utendaji wa jeshi la police kuna vitengo ukitupwa unaishia kusoma magazeti tu hata kama kirank uko juu.
 
Swala la Traffic kulwa rushwa liko kimfumo zaidi,kiasi kwa cheo na madaraka yake hawezi kuwa na mamlaka ya kulizuia hata kama anatamani iwe hivyo.Na kusema huko aliko labda hujui kwa mfumo wa utendaji wa jeshi la police kuna vitengo ukitupwa unaishia kusoma magazeti tu hata kama kirank uko juu.
Traffic police hawapo chini yake?
 
Tuanze kwa kuuliza, amekamata na kuwaweka ndani askari wala rushwa wangapi? Sitaki kuamini kwamba huko aliko hakuna traffic police, na kama wapo, ati hawasafishi viatu, na kama wanasafisha basi hiyo kiwi ni yao binafsi
Ila tuwe wakweli,kuna watu wana Maneno mazuri sana,sema ukija Sasa kwenye utekelezaji matendo yanakua zero kabisa!!
 
Chanda chema huvikwa pete. Huo ni msemo wa wahenga.

Huyu mama askari polisi alitusaidia sana kwa kusimamia misingi na haki akiwa OCD katika wilaya mojawapo hapa Dar.

Hakuwa mtetezi wa waharifu, hakuhalalisha rushwa wala kumung'unya maneno.

Chonde chonde Rais Samia tuletee huyu mama atuvushe.

Hakuwa OCD alikuwa RPC kwa sasa yupo makao makuu kitengo cha tathmini na fidia ya madhara mbali mbali wanayopata askari wakiwa kazini
 
Hakuwa OCD alikuwa RPC kwa sasa yupo makao makuu kitengo cha tathmini na fidia ya madhara mbali mbali wanayopata askari wakiwa kazini
Asante sana kiongozi kwa kutuweka sawa.
 
Dhamira yake inaonyesha wazi kabisa ukiingia kwenye huo mdomo wa mamba huchomoki.....
 
Back
Top Bottom