Huyu Askari alitusaidia sana kusimamia misingi na haki

.
 
Natamani kusikia alipandishwa cheo. Anaonekana mweledi sana.

Tofauti na hapo nitatumia ile kanuni ya when ignorance is bliss to be wise is foolish.
Nashangaa watu wanaweza kutumia mtandao kwa kumjenga mtu. Je sisi tulioathirika na utendaji wake unataka tuseme!? Hoja za kujenga ni nzuri zaidi kuliko za kujengana!
 
Hujui tu,

Ila umemharibia mwenzako kazi yake.
 
Kuna ambao waadilifu na kuna ambao wanakera sana...
Kuna mmoja jana alidindiana na Raia mwenye private car kwa mambo ya kuvuziana kupeana makosa...


Baada ya malumbano ya muda mrefu, askari akasema nakuita defender na utanijua mimi nani...
Nae yule raia wa kwenye private car akamwambia piga simu nami nipige simu tuoneshane...
Mwisho wa siku askari akanywea...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…