Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
HakufukuzwaKalikenya aliyemchoma kwa mkuu alishaachiwa kutoka Butimba so yuko mtaani sasa Afande naye hana kazi ana'haso' kitaa sijui nini kitatokea wakikutana,,
Kwamba Mungu amekataza walio kosea kukaripiwa au sio. .. .Jiwe limebondeka jamaa bado yuko anadunda.. Mungu huyu...[emoji848][emoji2827]
Ndiyo yeye huyo kutwa ni kumponda tu Shujaa JPM humu JFYawezekana ni member humu ambae huwa anajiita Stuxnet. Maana jamaa anachuki sana na hayati JPM huenda ndio yeye na alifutwa kazi, sina hakika. Tujuzane.
View attachment 2183068
Mungu huyo huyo pia ndiye huwa anaruhusu watoto wachanga wafe siku ya kuzaliwa.Jiwe limebondeka jamaa bado yuko anadunda.. Mungu huyu...[emoji848][emoji2827]
Kalikenya aliyemchoma kwa mkuu alishaachiwa kutoka Butimba so yuko mtaani sasa Afande naye hana kazi ana'haso' kitaa sijui nini kitatokea wakikutana,,
Ndiyo yeye huyo kutwa ni kumponda tu Shujaa JPM humu JF
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Mungu huyo huyo pia ndiye huwa anaruhusu watoto wachanga wafe siku ya kuzaliwa.
Msiwe watumwa kifikra kwa siasa zenu uchwara hadi kumsingizia MUNGU kila kitu.
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Mungu huyo huyo pia ndiye huwa anaruhusu watoto wachanga wafe siku ya kuzaliwa.
Msiwe watumwa kifikra kwa siasa zenu uchwara hadi kumsingizia MUNGU kila kitu.
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Ya kawaida huwa hayatungiwi madaMambo ya kawaida tu.
Jiwe limesagwa na galasha na kuwa poda!Jiwe limebondeka jamaa bado yuko anadunda.. Mungu huyu...[emoji848][emoji2827]