natambua kila mtu ana njia yake ya kuresponde anapopata habari njema,lakini ya huyu dogo sijawahi kuiona mahala popote duniani,hakulia,hakucheka,hakupiga kelele wala hakushindwa kuongea alichokifanya ni kitu dhalili yaani alitoa miguno inayoashiria anafanya mapenzi, kilichoaibisha zaidi miguno ile ni ya kike.
Jamani huo unaoitwa ushalobalo ni hatari sana nakumbuka jenerali ulimwengu alisema hiki kizazi hakiwezi kutunga katiba.nadhani mambo ya ndoa ya jinsia moja yatakuwa ni maoni ya vijana kama hawa.