Huyu Ben Paul vipi huyu simuelewi kabisa!

Huyu Ben Paul vipi huyu simuelewi kabisa!

Aisee hili jambo la 'usharobaro' limeingia kwa spidi sana.kweli huyu dogo alizidisha ubishoo na yule mwingine joo makini alivaa kihuni mno,stara thomas kavaa tishet imeandikwa kihuni ndio maana tuzo hizi hazina heshima wala mvuto.
Nimependa j-mo alikuwa amevaa kisanii lakini kiheshma.
Huku muelewa ,mwenzako alikua embarassed kwa sababu hakuwa prepared na ushindi hule na still kuja juu pale ku shukuru, mchanganyiko wa furaha,kuto tegema na kuto amini na pengine guilty pia , inaweza ikakufanya ushindwe kuongea au hata ukafanya vituko usivyo tegemea, nina uhakila leo akiangalia ile clip ya yeye kutoa acceptance speech lazima atakua embarassed!
 
natambua kila mtu ana njia yake ya kuresponde anapopata habari njema,lakini ya huyu dogo sijawahi kuiona mahala popote duniani,hakulia,hakucheka,hakupiga kelele wala hakushindwa kuongea alichokifanya ni kitu dhalili yaani alitoa miguno inayoashiria anafanya mapenzi, kilichoaibisha zaidi miguno ile ni ya kike.
Jamani huo unaoitwa ushalobalo ni hatari sana nakumbuka jenerali ulimwengu alisema hiki kizazi hakiwezi kutunga katiba.nadhani mambo ya ndoa ya jinsia moja yatakuwa ni maoni ya vijana kama hawa.
hapo kwenye red na blue mbona panapingana, unasema kila mtu ana njia yake (red), then unasema hujawahi kuona duniani(blue)!!!! sasa ungewahi kuona si ingekuwa tayari njia ya mwingine???? kwa taarifa tu, adrenaline zinaweza kukusababishia ufanyi kitu cha ajabu tofauti na wewe ulivyoclaim...kuna mtu alimwaga manii kutokana na mshtuko tu wa mtihani!!!! Sa huyo nae utasema alikuwa anawaza nini?
 
Go to hell Kili Music Awards....wanatoa zawadi kwa masharobaro sio wasanii(proffesional).....

siyo kweli! 20% sharobaro?kwa msanii kuwa na swagga za kitozi siyo mbaya acha wajisharobarizo vijana ni muda wao huu!
 
Dah WanaJF ni great thinkres....haya hapa chini yanatokea wapi tena:smash:
we mpmbavu hata mtu akikohoa utesema ni mguno wa ngono, akili yako ishaoza na lazima ufe maskni maana huwazi kitu kingine, nyambaf
 
Back
Top Bottom