Huyu bibi enzi za usichana wake nadhani alikuwa kama tractor

Hujui unachokiongea, ila jua tu kitu chochote ukifanya kwa kusukumwa na njaa huwezi fika popote
 
Picha tafadhali
 
Weka picha basi
Nimekuona kwenye nyuzi nyingi unaomba picha ziwekwe,kwa bahati mbaya watu wengi hawafahamu namma ya kuweka picha.Ninaomba ikikupendeza ufungue thread ya kueonyesha jinsi ya kuweka picha JF ingependeza ungetumia picha zako kufundishia
 
Mabinti njooni PM. Niwalink mkapate kitcheni party za Maana kutoka kwa huyu kunga.

You will never be the same again
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…