Huyu Bigirimana amekuja kutimiza ndoto zake Bongo?

Huyu Bigirimana amekuja kutimiza ndoto zake Bongo?

MUSHEKY

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2014
Posts
2,812
Reaction score
2,760
Wakuu samahani kwa usumbufu,

Simaanishi Joy aliyesajiliwa jana na yanga HAPANA huyu sina shida naye japo kila akitajwa beki huyu wa pembeni picha ya shemeji yenu wa zamani hunijia ila tuyaache hapa namaanisha yule kijana wa Kirundi tuliyeambiwa ametoka ligi ya Uingereza na kuja Yanga[emoji849]

Msingi wangu hapa upo hivi, je bwana Bigirimana yupo tofauti na vijana wenzie wote wa kiafrika wakati wote wanatambua Ulaya hasa EPL kama mahali pa kukomaa na ndoto zao, bwana huyu ameenda ant-clock wise na kuamua kujiunga na vyura hao wa njano?

Bila kupepesa macho ni wazi mchezaji huyu alishafikia kilele chake cha mpira na hivyo alitafuta tu pakuulia soka lake rasmi kama wenzao wote waliokwama wanavyofanya

Case ya Bigirimana ni kama vile Samata atoke chap Aston Villa mara paap kasajiliwa Vital O' ya Burundi kisha unaskia katua jangwani huku akimwagiwa sifa kem kem na vyura hao wa kijani
 
Bigirimana
Screenshot_20220712-102742.jpg
 
Wakuu samahani kwa usumbufu,

Simaanishi Joy aliyesajiliwa jana na yanga HAPANA huyu sina shida naye japo kila akitajwa beki huyu wa pembeni picha ya shemeji yenu wa zamani hunijia ila tuyaache hapa namaanisha yule kijana wa Kirundi tuliyeambiwa ametoka ligi ya Uingereza na kuja Yanga[emoji849]

Msingi wangu hapa upo hivi, je bwana Bigirimana yupo tofauti na vijana wenzie wote wa kiafrika wakati wote wanatambua Ulaya hasa EPL kama mahali pa kukomaa na ndoto zao, bwana huyu ameenda ant-clock wise na kuamua kujiunga na vyura hao wa njano?

Bila kupepesa macho ni wazi mchezaji huyu alishafikia kilele chake cha mpira na hivyo alitafuta tu pakuulia soka lake rasmi kama wenzao wote waliokwama wanavyofanya

Case ya Bigirimana ni kama vile Samata atoke chap Aston Villa mara paap kasajiliwa Vital O' ya Burundi kisha unaskia katua jangwani huku akimwagiwa sifa kem kem na vyura hao wa kijani
🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮
 
EPL palimshinda, akatoka hapo akaenda kupanga samaki kiwandani kwenye makasha ndio utopolo wakaambiwa kuna jembe ulaya waliwahi, wakamkimbilia.
 
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Kikwete peke yake na mzee manara wengine wote hamnazo
 
EPL palimshinda, akatoka hapo akaenda kupanga samaki kiwandani kwenye makasha ndio utopolo wakaambiwa kuna jembe ulaya waliwahi, wakamkimbilia.
🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮
 
Back
Top Bottom