Huyu Bikira wa Kisukuma anachekesha

Huyu Bikira wa Kisukuma anachekesha

Alimchokoza lemtuz mtu mzima kafanya yake na bado atashuka zaidi ya hapo
 
Dogo ni anarukia rukia tu chochote mwisho wa siku unakuwa huna msingi wowote imara wa biashara. Halafu unakuwa bingwa wa kutoa ushauri wakati hakuna hata success story yako moja uliyonayo. Kijana jenga biashara kwanza ndo baadaye uje kuwa coach. Sasa huna biashara una yorun ya maana halafu unajiita coach. Ushuzi mtupu
 
wakuu naona mnaponda,kuna single yangu moja na video itakuwa hewani week ijayo na msanii mkubwa bongo,naomba msiniponde wanaJF mi nafight life kama nye
 
Naombeniii mnadadaafuliee huyu bikira Wa kisukuma nini nani hapa bongo mpaka kufikia kufunguliwa hu Uzi
 
Back
Top Bottom