Huyu Bikira wa Kisukuma anachekesha

Huyu Bikira wa Kisukuma anachekesha

Huyu mbwa anajipalia makaa, na atakuwa haingii ikulu mwaka huu, ye hajui kama wambea tuna ushawishi tungempigia debe, sasa atakoma nfyuuu
umeona eeh
sura baya,roho mbaya,ngoja tumalizie kabla prezdaah hajasign
sijui yukoje
 
umeona eeh
sura baya,roho mbaya,ngoja tumalizie kabla prezdaah hajasign
sijui yukoje

Mmh!! Hizi sheria mwishowe tutakatazwa na kutumia smart phone... hawa mbwa dawa yao alshabaab ikawalipue uko mjengoni naona ubunge umewashinda wanaanza kuingilia starehe za watu nfyuuu
 
wakuu naona mnaponda,kuna single yangu moja na video itakuwa hewani week ijayo na msanii mkubwa bongo,naomba msiniponde wanaJF mi nafight life kama nye

Hahahaa ya kweli haya??
 
Yaani mwanaume anaitwa Bikira wa kisukuma ? Duniani kuna mambo kakosa AKA zingine ??? Poyeee Mwanamke mwenzetu uliyonaye , hapo kimeo.com
 
Ilo jina sasa dume zima linajiita bikira
 
Back
Top Bottom