Mzee Ruksa alipokua Presidaa alisema mahala pale kila mtu apataka, sukari imeingia sumu.Ila wanawake
moto wenu utakuwa mkali sana ?
sasa kwa nini na wewe uwende peku chooni ?
Hata hivyo parapanda italia tu
Hapana dada sio upendo ni katika ujana tu. Je majibu ya siku 40 yanauzito?Pole sana, kama umempenda sana nenda nae kwa daktari wake atawapa ushauri nasaha.
Usimwache, na wewe Anza kumeza ARV mwende sawa.Binti ni mrembo sana mkuu. Ipo siku nitamuelezea vizuri maana sipo sawa
Kama anatumia dawa kwa muda mrefu basi virusi vinaweza kuwa vimepungua kwa kiwango cha kutoambukiza (undetectable) .Ndugu habari za jumapili.
Nilikuwa na mahusiano na binti niliempenda sana na kuwa na malengo nae mengi sana.
Kitu ambacho sikujua binti ni muathirika na kwamujibu wake anatumia dawa.
Ilikuwa kama bahati tu baada ya kutafakari maisha yangu, nikamgusia suala la kupima, akakaa kmya muda mrefu ila usiku akaniuliza swali linaloonesha ameathirika aliachiwa na mama na anatumia dawa akawa anaulizia je nitamkubali au nitamkataa.
Mara ya mwisho nimekutana nae June 12 , sikuweza kumeza Prep kwani siku zilikuwa zimeenda Sana ..wakuu na nmesubiri zipite siku 40 majibu nipo Safi je niwe na amani wakuu?.
Carlos The Jackal
rikiboy
Sky Eclat View attachment 2309646
Nimeuliza ana mucus/ maji maji ukeni?Binti ni mrembo sana mkuu. Ipo siku nitamuelezea vizuri maana sipo sawa
Kuna vyoo ni visafi ukivaa malapa unachafua😀Ila wanawake
moto wenu utakuwa mkali sana ?
sasa kwa nini na wewe uwende peku chooni ?
Hata hivyo parapanda italia tu
Mkuu yani nimeanza na kumuogopa, kama kweli anaupendo kwanini asingeniambia toka mwanzo?....amenipitisha kwenye pito kubwa sana na asante nitabeba akili yangu sikuzoteKama anatumia dawa kwa muda mrefu basi virusi vinaweza kuwa vimepungua kwa kiwango cha kutoambukiza (undetectable) .
Ila nikushauri muende kwa mtaalamu wa afya kama kweli unampango wa kumuoa soon huko mtapewa maelezo ya namna ya kuishi bila kuambukizana .
N.b
Kama aliweza kukuficha kitu kama hicho means alikuwa mpekee na hii sio nzuri kwenye mustakabali mzuri wa mahusiano hivyo fuata hisia zako ila akili iende na wewe.
mkuu nilitumia mafuta kiasi ya kulainisha ..sijui ilikuwaje sikuhyo Ila nilitembea nayoNimeuliza ana mucus/ maji maji ukeni?
Mkuu aendelee kumpenda tena Mwanamke aliyemdanganya,bora angemwambiaqanzo kabisa.Pole sana, kama umempenda sana nenda nae kwa daktari wake atawapa ushauri nasaha.
Ndiyo kuwa na amani- mtu anayetumia dawa vizuri anashusha viral load kiasi anabakia hawezi kuambukiza tenaNdugu habari za jumapili.
Nilikuwa na mahusiano na binti niliempenda sana na kuwa na malengo nae mengi sana.
Kitu ambacho sikujua binti ni muathirika na kwamujibu wake anatumia dawa.
Ilikuwa kama bahati tu baada ya kutafakari maisha yangu, nikamgusia suala la kupima, akakaa kmya muda mrefu ila usiku akaniuliza swali linaloonesha ameathirika aliachiwa na mama na anatumia dawa akawa anaulizia je nitamkubali au nitamkataa.
Mara ya mwisho nimekutana nae June 12 , sikuweza kumeza Prep kwani siku zilikuwa zimeenda Sana ..wakuu na nmesubiri zipite siku 40 majibu nipo Safi je niwe na amani wakuu?.
Carlos The Jackal
rikiboy
Sky Eclat View attachment 2309646
Wengi tumepita situation kama hiyo,chukulia kawaida-usiendekeze mawazo yatakumaliza.hofu niliyonayo ni kubwa sana wakuu. Maisha yana siri kubwa sana na binadamu tuna mengi sana rohoni mwetu
U=U......Undetectable = Untransmittable.mimi sio wa kuongea peke yangu wakuu, kuna muda nakuwa kama nimechanganyikiwa kutokana na hofu.
Asante sana mkuuNdiyo kuwa na amani- mtu anayetumia dawa vizuri anashusha viral load kiasi anabakia hawezi kuambukiza tena
uliwezaje kuondoa mawazo mkuu?.. nafikiri muda utasaidia kuniweka sawaWengi tumepita situation kama hiyo,chukulia kawaida-usiendekeze mawazo yatakumaliza.
Kuna imani pia kuwa Mwamposa anaponya ngoma ila sijui kisayansi imekaaje.Kama umechovya na haujapata unaweza kuchovya tena usipate, hiyo ni mathematically lakini, sijui kibaiolojia ikoje😂