Huyu binti ameniletea balaa

Huyu binti ameniletea balaa

Ndugu habari za jumapili.

Nilikuwa na mahusiano na binti niliempenda sana na kuwa na malengo nae mengi sana.

Kitu ambacho sikujua binti ni muathirika na kwamujibu wake anatumia dawa.

Ilikuwa kama bahati tu baada ya kutafakari maisha yangu, nikamgusia suala la kupima, akakaa kmya muda mrefu ila usiku akaniuliza swali linaloonesha ameathirika aliachiwa na mama na anatumia dawa akawa anaulizia je nitamkubali au nitamkataa.

Mara ya mwisho nimekutana nae June 12 , sikuweza kumeza Prep kwani siku zilikuwa zimeenda Sana ..wakuu na nmesubiri zipite siku 40 majibu nipo Safi je niwe na amani wakuu?.

Carlos The Jackal
rikiboy
Sky Eclat View attachment 2309646
Kama anatumia dawa kwa muda mrefu basi virusi vinaweza kuwa vimepungua kwa kiwango cha kutoambukiza (undetectable) .

Ila nikushauri muende kwa mtaalamu wa afya kama kweli unampango wa kumuoa soon huko mtapewa maelezo ya namna ya kuishi bila kuambukizana .

N.b
Kama aliweza kukuficha kitu kama hicho means alikuwa mpekee na hii sio nzuri kwenye mustakabali mzuri wa mahusiano hivyo fuata hisia zako ila akili iende na wewe.
 
Kama anatumia dawa kwa muda mrefu basi virusi vinaweza kuwa vimepungua kwa kiwango cha kutoambukiza (undetectable) .

Ila nikushauri muende kwa mtaalamu wa afya kama kweli unampango wa kumuoa soon huko mtapewa maelezo ya namna ya kuishi bila kuambukizana .

N.b
Kama aliweza kukuficha kitu kama hicho means alikuwa mpekee na hii sio nzuri kwenye mustakabali mzuri wa mahusiano hivyo fuata hisia zako ila akili iende na wewe.
Mkuu yani nimeanza na kumuogopa, kama kweli anaupendo kwanini asingeniambia toka mwanzo?....amenipitisha kwenye pito kubwa sana na asante nitabeba akili yangu sikuzote
 
hofu niliyonayo ni kubwa sana wakuu. Maisha yana siri kubwa sana na binadamu tuna mengi sana rohoni mwetu
 
Ndugu habari za jumapili.

Nilikuwa na mahusiano na binti niliempenda sana na kuwa na malengo nae mengi sana.

Kitu ambacho sikujua binti ni muathirika na kwamujibu wake anatumia dawa.

Ilikuwa kama bahati tu baada ya kutafakari maisha yangu, nikamgusia suala la kupima, akakaa kmya muda mrefu ila usiku akaniuliza swali linaloonesha ameathirika aliachiwa na mama na anatumia dawa akawa anaulizia je nitamkubali au nitamkataa.

Mara ya mwisho nimekutana nae June 12 , sikuweza kumeza Prep kwani siku zilikuwa zimeenda Sana ..wakuu na nmesubiri zipite siku 40 majibu nipo Safi je niwe na amani wakuu?.

Carlos The Jackal
rikiboy
Sky Eclat View attachment 2309646
Ndiyo kuwa na amani- mtu anayetumia dawa vizuri anashusha viral load kiasi anabakia hawezi kuambukiza tena
 
mimi sio wa kuongea peke yangu wakuu, kuna muda nakuwa kama nimechanganyikiwa kutokana na hofu.
U=U......Undetectable = Untransmittable.

HIVinakutia hofu na watu wanaishi nayo miaka tele tena bila masharti magumu magumu..... Imagine mtu mwenye kisukaria au presha ,wanamasharti kibao ya chakula na vinywaji.

Fikiria mtu wa Kansa 5 years survival ni miujiza.
 
[emoji1787][emoji1787] Mkuu Kandambili1 wafwaaa! Subiri baada ya siku 90, kisha pima, utakuja kunishukuru hapa! Kikubwa usiusambaze kwa wanawake wengine tafadhari!
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
One man down
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Back
Top Bottom