Huyu binti atanifanya niwe masikini

mkuuu ila una pesa za mawazo mwanamke kukuomba elfu sitini ni tatizo find your level bro waachie wenye pesa hizo mali
 
mkuuu ila una pesa za mawazo mwanamke kukuomba elfu sitini ni tatizo find your level bro waachie wenye pesa hizo mali
Ndio maana mnazidi kuwa masikini, usipoithamini shilingi kumi, utaweza kuthamini hela kubwa wewe? Mfanyabiashara yeyote anathamini ata senti moja, kwa sababu ndio faida inapatikana huko.
 
Hapo baba umepatikana na Mambo ya ajabu. Pole Sana hao ndio wanawake na rangi zao
 
Unamuendekeza tu huyo.
Utaskia mimba yangu ndo inataka hivyo, nyambafu mimba inataka kwasababu unaona vinawezekana, waliozalia vijijini huko huwa wanaenda shamba na mimba yao wala haina kutakataka vitu hovyo.

Pole mkuu, huenda unampenda sana huyo manzi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] nimempa watoto wakutosha, yuko bize analea.



Jamani!

Kumbe saingine mnawatotolesha haraka ili kuwa-keep busy na ulezi ili wasiweze
Kuwafuatilia
Nyendo zenu sizizofaa za kuhangaika na michepuko?! [emoji848][emoji848][emoji848]

Maskini huruma kwa huyo mkeo!
 
Jamani!

Kumbe saingine mnawatotolesha haraka ili kuwa-keep busy na ulezi ili wasiweze
Kuwafuatilia
Nyendo zenu sizizofaa za kuhangaika na michepuko?! [emoji848][emoji848][emoji848]

Maskini huruma kwa huyo mkeo!
Kwa mfano; uumpe mtoto mmoja, labda mtoto ana miaka 7, mwanamke anakula vizuri, ngozi inatakata, sura inapendeza, chura inavutia....hapo kwa nini usisalitiwe?
 
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Mimba ya ngapi mzee baba? Naulizia hivyo Kwa sababu haiingii akilini mtu ana mimba yako halafu seriously unamruhusu kwenda club peke yake usiku. Au ndo vile binadamu tunatofautiana sana
Mkuu anaheshimu madanga ya mke wake [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haufiti kwenye hayo mahusiano.
 
Mnafanana
 
Dah Naandika,, nafuta,,

Anyway pole sana mzee
 
mkuuu ila una pesa za mawazo mwanamke kukuomba elfu sitini ni tatizo find your level bro waachie wenye pesa hizo mali
We pesa unayo mzee au una mbwela mbwela hapa kutafuta misifa ,mr misifa.

Masikini ndio huwa wanajiona wana hela na tambo za kijinga sababu hawajui thamani ya pesa na kazi yake.

Matajiri hutulia kimya wakikusoma 60k ni mtaji wa tosha

Acha ngendembwe jibaba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…