Huyu binti atanifanya niwe masikini

Pole sana mkuu. Ila ID yako tu inaonyesha wewe ni mwana mahesabu. Hutaki hasara.
 
 
KK kama huna pesa ww ndo woteee au kwa vile uliniazma,pesa nikakuambia sina polee sana huna pesa find your level simple advise
 
KK kama huna pesa ww ndo woteee au kwa vile uliniazma,pesa nikakuambia sina polee sana huna pesa find your level simple advise
Bro kama unazo hizo tuliza kitenesi acha mbwembwe na ngendembwe

Unaleta dharau kisa wewe unazo hela

Wewe unanijua mimi !?

Unanijua naingizia kiasi kwa mwezi!?

Yawezekana wewe una hela za kuchezea hii haina maana wengine wachezee hela zao.

Kila mtu na priorities zake

Jifunze kuhesheme misimamo ya wenzako katika pesa
 
Namjua huyo msichana anaitwa Soreiya ni shombeshombe fulani hivi anasoma chup cha diplomasia.
 
Nimetumia hii mbinu, ameweza kuondoka
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umeona mkuu nilijua tu Kwa hii mbinu niliyokupa hawezi kuchomoa wauni sio watu wazuri big up sana kamanda[emoji120][emoji123][emoji123]
 
Kuwa makini na hii ndoto yako usije ota kwa hasira unakata kikojoleo chako. Maana vijana wa siku hizi hamueleweki

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…