Mwakinyo anapiganishwa na walevi tu,ni bondia overated tu,huyo hata dulah mbabe hamuweziNimeangalia pambano hapa huyu bondia wa namia ameonekana kuto kujiamini kabisa. Kakosa mbinu. Kakosa uvumilivu, alafu kwanini refa kamaliza mapema angemuacha apigwe ngumi za uso na mwakinyo ili apate uzoefu wa kutosha.
Note. Km huyu mnamibia kashinda mapambano 23 kuna uwezekano wiki zijazo nikaanza kujifua niingie uwanjani.
Unapigwa "punch" 5 bila ya majibu unategemea refa aendeleze pambano?!!Nimeangalia pambano hapa huyu bondia wa namia ameonekana kuto kujiamini kabisa. Kakosa mbinu. Kakosa uvumilivu, alafu kwanini refa kamaliza mapema angemuacha apigwe ngumi za uso na mwakinyo ili apate uzoefu wa kutosha.
Note. Km huyu mnamibia kashinda mapambano 23 kuna uwezekano wiki zijazo nikaanza kujifua niingie uwanjani.
Kuna mashabiki maandazi kama wewe ambao ni wasenge wasenge flani hamjielewi, jaribu kutafuta game za huyo jamaa kisha uje ku comment maqu weweKwa mabondia na mapandan anayo pigana mwakinyo asije akapgna na kiduku atakama ni locol kwa sababu anapgna na walevi
Anachofanya mwakinyo ni kupanda Boxing ladder, mmoja baada ya mwingine, anapasua tuuKuna mashabiki maandazi kama wewe ambao ni wasenge wasenge flani hamjielewi, jaribu kutafuta game za huyo jamaa kisha uje ku comment maqu wewe
Miongoni mwa vitu vilivyonisikitisha Jana ni hiki cha Tony Rashid kupigwa yaan kaongoza round ya 2 hadi ya 12 halafu anakubali KO sad for him ila kuhusu matumizi ya dawa how come round tisa zote ampige dawa mwishoni ndo ziwe na effectNjoo tujadili pambano la msouth na homeboy ilikuwa ajabu na kweli
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Boxing siyo vita babu,ulitaka mpaka afie ulingoni,refa akiona bondia anaelemewa na anashindwa kujitetea lazima amuokoe kwa kumaliza pambano.Nimeangalia pambano hapa huyu bondia wa namia ameonekana kuto kujiamini kabisa. Kakosa mbinu. Kakosa uvumilivu, alafu kwanini refa kamaliza mapema angemuacha apigwe ngumi za uso na mwakinyo ili apate uzoefu wa kutosha.
Note. Kama huyu mnamibia kashinda mapambano 23 kuna uwezekano wiki zijazo nikaanza kujifua niingie uwanjani.
Yule sio bondia ni mstaafu wa ubondia, hakuja dar kufata maumivu alikuja kufata pesa tu, sasa ulitaka aende hadi round ya 10 ili apate vyote? (Maumivu + pesa)Nimeangalia pambano hapa huyu bondia wa namia ameonekana kuto kujiamini kabisa. Kakosa mbinu. Kakosa uvumilivu, alafu kwanini refa kamaliza mapema angemuacha apigwe ngumi za uso na mwakinyo ili apate uzoefu wa kutosha.
Note. Kama huyu mnamibia kashinda mapambano 23 kuna uwezekano wiki zijazo nikaanza kujifua niingie uwanjani.
Kuna kitu hakiko sawa pale huwenda dawa walipuliza mda uleule wa round ya mwishoMiongoni mwa vitu vilivyonisikitisha Jana ni hiki cha Tony Rashid kupigwa yaan kaongoza round ya 2 hadi ya 12 halafu anakubali KO sad for him ila kuhusu matumizi ya dawa how come round tisa zote ampige dawa mwishoni ndo ziwe na effect
Haters kunyweni sumu sasa
Hakuna aliepigwa punch tano pale, Sena Mwakinyo amerusha makumi ya punch zisizo na target nyingi zilikuwa zinamkosa Indongo au kuishia kwenye gloves.Unapigwa "punch" 5 bila ya majibu unategemea refa aendeleze pambano?!!
"Boxing" ni mchezo na si vita ya kuuana.....
#HastaMwakinyo
#SiempreJMT