je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 2,022
- 3,919
Nimeangalia pambano hapa huyu bondia wa namia ameonekana kuto kujiamini kabisa. Kakosa mbinu. Kakosa uvumilivu, alafu kwanini refa kamaliza mapema angemuacha apigwe ngumi za uso na mwakinyo ili apate uzoefu wa kutosha.
Note. Kama huyu mnamibia kashinda mapambano 23 kuna uwezekano wiki zijazo nikaanza kujifua niingie uwanjani.
Note. Kama huyu mnamibia kashinda mapambano 23 kuna uwezekano wiki zijazo nikaanza kujifua niingie uwanjani.