Huyu bosi vp

in any case dare not. utakuwa mtumwa na especially ukiwa na surbordinates watakudharau
 
HAIHUSU HIYO KWANI jAMAA KALALAMIKA KUHUSU MAHUSIANO KAZINI?YEYE ANASEMA HUYU BOSI VIPI ANATAKA KUKOBOLEWA SASA YEYE NI KUANGALIA MZIGO KAMA UNALIPA AKOBOE TUU KAMA HAULIPI AUPOTEZEE SIO LAZIMA SANA

Pole pole basi eeh baba eeh.
 
No usifanye na boss wako, hauta enjoy kaziyako.
 
Umekula denda lanini??kama wewe hukuwa na hisia naye??unatulete isdingo ze need??
 
Muite mkeo aje akuchukue ofisini.... vinginevyo, nenda naye hadi sebuleni na ufanye utambulisho.....
 
Kaka yangu wala usijaribu kulala naye, kwanza heshima ya kazi itashuka pili atakuwa anawafanyia vituko wasichan ambao uko nao karibu akifikiri mna uhusiano mwisho wa siku kazi zitakuwa hazifanyiki na wote mtaonekana watoto mmeshindwa kucontrol hisia zenu ofisini
 
Ni sawa na kula ndizi zilizokaangwa na mafuta ya kitimoto, hujala kitimoto hapo.

Hapo kinachokuwa kimebakia nikuomba wakuletee kilo uendelee!!ila wasikuwekee ngozi kubwa!!Mdudu vivaaaa!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…