Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kula kitu hiyo mzee faster unajiuliza nini na wewe ushampeleka home?au wewe bwabwa?????
Nenda naye tu mdogo wangu, leo lock milango ya gari ingia naye hadi ndani ya geti
osha rungu si anataka
HAIHUSU HIYO KWANI jAMAA KALALAMIKA KUHUSU MAHUSIANO KAZINI?YEYE ANASEMA HUYU BOSI VIPI ANATAKA KUKOBOLEWA SASA YEYE NI KUANGALIA MZIGO KAMA UNALIPA AKOBOE TUU KAMA HAULIPI AUPOTEZEE SIO LAZIMA SANA
No usifanye na boss wako, hauta enjoy kaziyako.
Thanx al
Umesha malizana na boss mkuu? Naona kimyaaaa tayari umekula vitu?
Sijui kwanini watu wengine hatupati bahati kama hii...dah!
Umekula denda lanini??kama wewe hukuwa na hisia naye??unatulete isdingo ze need??I hope mnaendelea vizuri wana JF
Mwenzenu nafikiria niondokaje leo hapa ofisini..jana jioni wakati natoka bosi wangu aliniomba lifti na alipoingia akaniambia leo lazima nikamuoneshe nyumbani kwangu, ofcz alikua anaongea kama ni utani flani nami nikajua ndio ivo
kumbe bana alimaanisha, mama wa watu akakomaa kwenye gari mpaka mitaa ya home mitaa ya kunduchi hiyo ni kama mida ya saa moja na nusu, tunafika getini kabla sijapiga horn eti anadai anataka kushuka, nilipomuuliza mbona unataka kushuka huku nje akajibu yeye alikuja kwa ajili ya kitu kimoja tu...eti nimpe kiss
tukazinguana pale lakini kwa sababu ilikua maeneo ya home ikabidi mzee nimpe hiyo kiss ili aondoke zake, akataka tena nikala mara ya pili nikatulia then akaniambia anataka kuondoka bahati nzuri nina namba ya jamaa wa bajaji nikampigia akaja kumchukua!
sasa leo hapa ndio nafikiria how should i go..kuna kila dalili kuibukiwa tena!
Umekula denda lanini??kama wewe hukuwa na hisia naye??unatulete isdingo ze need??
Hivi mtu akinywa mchuzi ni sawa na kula nyama?
Muite mkeo aje akuchukue ofisini.... vinginevyo, nenda naye hadi sebuleni na ufanye utambulisho.....
Ni sawa na kula ndizi zilizokaangwa na mafuta ya kitimoto, hujala kitimoto hapo.
Ni sawa na kula ndizi zilizokaangwa na mafuta ya kitimoto, hujala kitimoto hapo.