Huyu Chama kagundua Yanga hatuna mzuka naye sasa anataka kuwa anatuchomesha kwa Mikia

Huyu Chama kagundua Yanga hatuna mzuka naye sasa anataka kuwa anatuchomesha kwa Mikia

Minjingu Jingu

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
1,072
Reaction score
2,384
Amejiona kama amekuwa wa kawaida sana na umri unamtupa mkono. Kwa sasa anatafuta mlango wa kutokea. Tulimchukua atusaidie kimataifa kama ambavyo alishawahi kuisaidia Simba mara mbili kuwavusha. Amekuja huku anakula ubwabwa tu na kuhangaika na mademu. Fala sana huyu. Halafu analeta tena habari za Simba. Huyu ananunulika kirahisi sana.

Screenshot_2025-01-30-13-46-58-849_com.twitter.android~2.jpg
 
Huyu usajili wake kuja Yanga ulikuwa wa kimuhemko zaidi kuliko ufundi.

Nguvu zilizotumika kumsajili Chama na Baleke tungezitumia kusajili striker mmoja wa kueleweka kuliko Dube.

Na arudi tu Simba hata sasa sioni faida yake Yanga.
 
Kwa levo aliyokuwa amefikia pale Simba hakufanya maamuzi sahihi kwenda Yanga tena kwa mbwembwe zile na kulazimisha kwiiingi. Mara agomee mazoezi mara achelewe kambini mara abishane na kocha wa viungo, mara atupe mpira chini kwa hasira mbele ya watazamaji ili mradi visa tu kama mke anayelazimisha talaka. Kila wakati afanye makosa yeye tena makusudi halafu viongozi wambembeleze yeye. Kwa kiasi fulani yeye na Mkude waliharibu nidhamu ya timu kwa ujumla.

Sasa huko Simba anakotaka kurudi si tayari kumeshajaa. Kweli uwezo bado anao lakini kitendo cha kumrudisha kitawakatisha tamaa vijana walioanza kujipata kama Ahoua ambao kiasi wamewafanya wanasimba waanze kumsahau Chama taratibu na mashabiki sasa wameanza kukubali uhalisia kuwa Simba inaweza kwenda mbele bila ya Chama.

Anyway maamuzi tuwaachie viongozi wa Simba na Mo.

Ni mtizamo tu.
 
Huyu usajili wake kuja Yanga ulikuwa wa kimuhemko zaidi kuliko ufundi.

Nguvu zilizotumika kumsajili Chama na Baleke tungezitumia kusajili striker mmoja wa kueleweka kuliko Dube.

Na arudi tu Simba hata sasa sioni faida yake Yanga.
Sisi hata hatumuhitaji, bakini nae hapo bwawani mtaa wa [emoji3069].
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu usajili wake kuja Yanga ulikuwa wa kimuhemko zaidi kuliko ufundi.

Nguvu zilizotumika kumsajili Chama na Baleke tungezitumia kusajili striker mmoja wa kueleweka kuliko Dube.

Na arudi tu Simba hata sasa sioni faida yake Yanga.
Eti unakuta mtu unamuhoji kuwa kwanini Yanga wamsajili chama na Baleke? bila aibu anakujibu kuwa lengo watusaidie kimataifa unabaki mdomo wazi...kiufupi sajili za Yanga ni zakipuuzi mno
 
Eti unakuta mtu unamuhoji kuwa kwanini Yanga wamsajili chama na Baleke? bila aibu anakujibu kuwa lengo watusaidie kimataifa unabaki mdomo wazi...kiufupi sajili za Yanga ni zakipuuzi mno
Huu usajili ulikuwa wa kukurupuka sana.
 
Huyu usajili wake kuja Yanga ulikuwa wa kimuhemko zaidi kuliko ufundi.

Nguvu zilizotumika kumsajili Chama na Baleke tungezitumia kusajili striker mmoja wa kueleweka kuliko Dube.

Na arudi tu Simba hata sasa sioni faida yake Yanga.
Mmemzeesha hatumtaki😂😁🤣😄
 
Karibu tena Mwamba wetu wa Lusaka Clotus Chama kwenye timu yetu ya Simba. Mimi pamoja na shabiki mwenzangu wa Simba, Ms Kalpana, hakika tunakusubiria kwa hamu sana ili uje ukinukishe tena msimu ujao.

Imagine pale mbele kuna Kibu, Mukwala, Mutale, Ahoua, ukichanganya na Chama! Aisee ni magoli tu yatamiminika kwa wapinzani.
Kwani huko kwenu mmemchoka? Basi aende Kwao Lusaka...
Huku tulishamtapika...
Mkapokea matapishi mkayalamba kama mmeanza kujisikia vichefu chefu tapikeni na nyie wampokee ndugu zenu SBS...
Karibu tena Mwamba wetu wa Lusaka Clotus Chama kwenye timu yetu ya Simba. Mimi pamoja na shabiki mwenzangu wa Simba, Ms Kalpana, hakika tunakusubiria kwa hamu sana ili uje ukinukishe tena msimu ujao.

Imagine pale mbele kuna Kibu, Mukwala, Mutale, Ahoua, ukichanganya na Chama! Aisee ni magoli tu yatamiminika kwa wapinzani.
 
Kwa levo aliyokuwa amefikia pale Simba hakufanya maamuzi sahihi kwenda Yanga tena kwa mbwembwe zile na kulazimisha kwiiingi. Mara agomee mazoezi mara achelewe kambini mara abishane na kocha wa viungo, mara atupe mpira chini kwa hasira mbele ya watazamaji ili mradi visa tu kama mke anayelazimisha talaka. Kila wakati afanye makosa yeye tena makusudi halafu viongozi wambembeleze yeye. Kwa kiasi fulani yeye na Mkude waliharibu nidhamu ya timu kwa ujumla.

Sasa huko Simba anakotaka kurudi si tayari kumeshajaa. Kweli uwezo bado anao lakini kitendo cha kumrudisha kitawakatisha tamaa vijana walioanza kujipata kama Ahoua ambao kiasi wamewafanya wanasimba waanze kumsahau Chama taratibu na mashabiki sasa wameanza kukubali uhalisia kuwa Simba inaweza kwenda mbele bila ya Chama.

Anyway maamuzi tuwaachie viongozi wa Simba na Mo.

Ni mtizamo tu.
Haiwezekani kurudi simba ishavuka huko ni kweli amefanya makubwa akiwa simba ila maringo yake ,kudeka kwake as if simba haiwezi bila yeye ndio imechafua kurasa zake so sioni kama simba wanaweza kumrudisha tenaaa
 
Back
Top Bottom