Huyu Chama kagundua Yanga hatuna mzuka naye sasa anataka kuwa anatuchomesha kwa Mikia

Huyu Chama kagundua Yanga hatuna mzuka naye sasa anataka kuwa anatuchomesha kwa Mikia

Yanga huenda ikaja msimu ujao ila msimu huu Kuna team ya hersi gsm na huyo designer sijui wanamuita nani binafsi sijawahi kuona yanga inayovaa majezi hata siyaelewi
Yanga Ina rangi zake na iko kwa Sasa imepumzika kupisha hii team ya matangazo na mikakati ya kuwapa watu umaarufu
 
Huyu usajili wake kuja Yanga ulikuwa wa kimuhemko zaidi kuliko ufundi.

Nguvu zilizotumika kumsajili Chama na Baleke tungezitumia kusajili striker mmoja wa kueleweka kuliko Dube.

Na arudi tu Simba hata sasa sioni faida yake Yanga.
Hersi alipiga asilimia nadhani Chama na Baleke ni makapi tu. Chama umri umeenda anakuja kuzeekea Yanga
 
Yanga huenda ikaja msimu ujao ila msimu huu Kuna team ya hersi gsm na huyo designer sijui wanamuita nani binafsi sijawahi kuona yanga inayovaa majezi hata siyaelewi
Yanga Ina rangi zake na iko kwa Sasa imepumzika kupisha hii team ya matangazo na mikakati ya kuwapa watu umaarufu
Kwenye jezi umesema kweli kbsaa wamearibu brand za yang
 
ila simba walipokamsajili Morrison na Niyonzima hawakukurupuka?
Morrison aliyebeba Simba shirikisho ilikuwa one man show ilitosha kumpa Morrison cheti Cha utumishi mwema ,Kwa upande wa Niyonzima ile skipping ball deception kwa wachezaji wa ac vita Kisha mwamba anatupia msumari wa moto Simba inaenda robo fainali mbele ya team iliyompiga 5-0 Lubumbashi hatuwezi kumsahau Niyonzima .
 
Huyu usajili wake kuja Yanga ulikuwa wa kimuhemko zaidi kuliko ufundi.

Nguvu zilizotumika kumsajili Chama na Baleke tungezitumia kusajili striker mmoja wa kueleweka kuliko Dube.

Na arudi tu Simba hata sasa sioni faida yake Yanga.
Arudi Simba kufanyaje? Huyo ishatoka labda aende Kengold
 
Kwani huko kwenu mmemchoka? Basi aende Kwao Lusaka...
Huku tulishamtapika...
Mkapokea matapishi mkayalamba kama mmeanza kujisikia vichefu chefu tapikeni na nyie wampokee ndugu zenu SBS...
Kwanza hata kabla ya kwenda Yanga mashabiki wa Simba walishamkataa kwa tabia zake,na hakuna shabiki wa Simba ameumia Chama kuondoka
 
Huyu usajili wake kuja Yanga ulikuwa wa kimuhemko zaidi kuliko ufundi.

Nguvu zilizotumika kumsajili Chama na Baleke tungezitumia kusajili striker mmoja wa kueleweka kuliko Dube.

Na arudi tu Simba hata sasa sioni faida yake Yanga.
No walikalili kua ili kuiua simba mtoe Chama hawakujua mkakati wa simba kuanza upya,huu mtego ndio uliosababisha simba kutofanya vyema miaka 3 nyuma,simba walifanya hivyo nailawaumbua yanga wanafanya makosa yaleyale.
Na sasa Aziz Ki plus Mzize wanaenda Lybia
 
Back
Top Bottom