Huyu Chama SImba walitubadilishia nini? kuna kitu Yanga hakipo sawa

Huyu Chama SImba walitubadilishia nini? kuna kitu Yanga hakipo sawa

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
inawezekana kuna vitu hatufanyi au vinatuzuia kuwa Yanga ile moto moto. Huyu Chama tulimchukua kwa ajili ya nini? miaka yote tulikuwa tunasema Chama ni konokono tukaja msajili, huyu Baleke Simba waliachana naye pia hawakuona msaada kwake. tukaenda mchukua kama tulivyofanya kwa Okra. Nani anatuhujumu? nani? kwa nini?

Yanga msimu uliopita tulikuwa na kikosi kikali sana hatukuhitaji mambo mengi msimu huu. hatukutakiwa kuwachukua hawa watu wamechoka.. hawana msaada katika matches za muhimu, matches ngumu. akina Chama wanafaa kwenye matches ambazo hazina ugumu, hazina matumizi ya nguvu. Chama miaka yote tunamponda ni konokono ana poza mashambulizi leo huyu tumeingia naye mkataba kila match acheze ili kutochekwa na wapinzani wetu mikia.

nani anatuhujumu? Nabi alifukuzwa sababu zipi tuwe wakweli viongozi. mbona kama suala la kumpangia kikosi alishaamua anyamaze? mimi sioni sababu ya Yanga kuwa hivi sioni sababu kwa kweli. team ina wachezaji wazuri ila kwa sasa wanaonekana wamechoka. wamechoka na nini? Aziz Ki shida nini kwa sasa tuchunguze. kuna mambo hayapo sawa.
 
inawezekana kuna vitu hatufanyi au vinatuzuia kuwa Yanga ile moto moto. Huyu Chama tulimchukua kwa ajili ya nini? miaka yote tulikuwa tunasema Chama ni konokono tukaja msajili, huyu Baleke Simba waliachana naye pia hawakuona msaada kwake. tukaenda mchukua kama tulivyofanya kwa Okra. Nani anatuhujumu? nani? kwa nini?

Yanga msimu uliopita tulikuwa na kikosi kikali sana hatukuhitaji mambo mengi msimu huu. hatukutakiwa kuwachukua hawa watu wamechoka.. hawana msaada katika matches za muhimu, matches ngumu. akina Chama wanafaa kwenye matches ambazo hazina ugumu, hazina matumizi ya nguvu. Chama miaka yote tunamponda ni konokono ana poza mashambulizi leo huyu tumeingia naye mkataba kila match acheze ili kutochekwa na wapinzani wetu mikia.

nani anatuhujumu? Nabi alifukuzwa sababu zipi tuwe wakweli viongozi. mbona kama suala la kumpangia kikosi alishaamua anyamaze? mimi sioni sababu ya Yanga kuwa hivi sioni sababu kwa kweli. team ina wachezaji wazuri ila kwa sasa wanaonekana wamechoka. wamechoka na nini? Aziz Ki shida nini kwa sasa tuchunguze. kuna mambo hayapo sawa.
Bado ,mtasema tu
 
Ndio mpra una matokeo matatu:
1.kufungwa
2.droo
3.kushinda
Leo hamjachoma sindano
 
Triple C
1000016455.jpg
 
Bado hamjasema🤣🤣🤣 nasikia bado mechi 2 za kufungwa halafu muambulie sare😂😂
 
inawezekana kuna vitu hatufanyi au vinatuzuia kuwa Yanga ile moto moto. Huyu Chama tulimchukua kwa ajili ya nini? miaka yote tulikuwa tunasema Chama ni konokono tukaja msajili, huyu Baleke Simba waliachana naye pia hawakuona msaada kwake. tukaenda mchukua kama tulivyofanya kwa Okra. Nani anatuhujumu? nani? kwa nini?

Yanga msimu uliopita tulikuwa na kikosi kikali sana hatukuhitaji mambo mengi msimu huu. hatukutakiwa kuwachukua hawa watu wamechoka.. hawana msaada katika matches za muhimu, matches ngumu. akina Chama wanafaa kwenye matches ambazo hazina ugumu, hazina matumizi ya nguvu. Chama miaka yote tunamponda ni konokono ana poza mashambulizi leo huyu tumeingia naye mkataba kila match acheze ili kutochekwa na wapinzani wetu mikia.

nani anatuhujumu? Nabi alifukuzwa sababu zipi tuwe wakweli viongozi. mbona kama suala la kumpangia kikosi alishaamua anyamaze? mimi sioni sababu ya Yanga kuwa hivi sioni sababu kwa kweli. team ina wachezaji wazuri ila kwa sasa wanaonekana wamechoka. wamechoka na nini? Aziz Ki shida nini kwa sasa tuchunguze. kuna mambo hayapo sawa.
Kwa mtizamo wangu Kuna kitu hakiko sawa. Mechi za ngao ya hisan timu ilianza vizuri Hadi Azam alikula goli 4. Kuna tatizo lingine

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Shida ni kurjuan wala sio mengine! Nendeni kwa mzee magoma myamalize
 
inawezekana kuna vitu hatufanyi au vinatuzuia kuwa Yanga ile moto moto. Huyu Chama tulimchukua kwa ajili ya nini? miaka yote tulikuwa tunasema Chama ni konokono tukaja msajili, huyu Baleke Simba waliachana naye pia hawakuona msaada kwake. tukaenda mchukua kama tulivyofanya kwa Okra. Nani anatuhujumu? nani? kwa nini?

Yanga msimu uliopita tulikuwa na kikosi kikali sana hatukuhitaji mambo mengi msimu huu. hatukutakiwa kuwachukua hawa watu wamechoka.. hawana msaada katika matches za muhimu, matches ngumu. akina Chama wanafaa kwenye matches ambazo hazina ugumu, hazina matumizi ya nguvu. Chama miaka yote tunamponda ni konokono ana poza mashambulizi leo huyu tumeingia naye mkataba kila match acheze ili kutochekwa na wapinzani wetu mikia.

nani anatuhujumu? Nabi alifukuzwa sababu zipi tuwe wakweli viongozi. mbona kama suala la kumpangia kikosi alishaamua anyamaze? mimi sioni sababu ya Yanga kuwa hivi sioni sababu kwa kweli. team ina wachezaji wazuri ila kwa sasa wanaonekana wamechoka. wamechoka na nini? Aziz Ki shida nini kwa sasa tuchunguze. kuna mambo hayapo sawa.
Usiseme ivooo
 
Back
Top Bottom