Living Pablo
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 3,549
- 10,995
Elegency Sinza pale??[emoji848]dah jamaa yangu ushagonga K ya fisi wewe...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elegency Sinza pale??[emoji848]dah jamaa yangu ushagonga K ya fisi wewe...
Kwenye kona ya bar[emoji23]Kona Bar inapatikana wapi mpwa nahitaji kufanya utafiti
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwenye kona ya bar[emoji23]
Kiranga bado sijui kama ni mtu ama jini? Huu ujasiri sijui anautolea wapi?Mkuu..kama wewe umegundua yupo ujue na yeye kagundua hayupo...
Kimeumana.. ...
Kiranga huu ujasiri unautolea wapi? Thibitisha kama wewe ni binadamu...Kimantiki, mzigo wa kuthibitisha upo kwa yule anayesema kitu kipo, haupo kwa yule anayesema kitu hakipo.
Ndiyo maana polisi wakikutuhumu una madawa ya kulevya nyumbani kwako, wanachotakiwa kufanya ni kupata search warrant, ku search nyumba yako, kupata madawa.
Hawakwambii "thibitisha kuwa huna madawa".
You have the burden of proof.
Thibitisha Mungu yupo.
Kiranga ni pepo sio jini
Kwani nani kakwambia mimi ni binadamu?Kiranga huu ujasiri unautolea wapi? Thibitisha kama wewe ni binadamu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hata vichaa wanaamini Mungu yupo?kiranga ni binadam wa kawaida tu ila nazani kuna ugonjwa flani anaumwa
Sawa mkuu wewe sio binadamu. Nimeshapata jibu niliokuwa nalihitaji.Kwani nani kakwambia mimi ni binadamu?
Binadamu ni nani?
Hujanijibu, binadamu ni nani?Sawa mkuu wewe sio binadamu. Nimeshapata jibu niliokuwa nalihitaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilimuomba fb messenger akasema poa.Anaitwa Jacky, nilimfahamu mwaka 2019,huo mwaka nulimchukua mara moja kwa ajili ya short for first time, sasa tukajenga mazoea kwa vile akiwa chumbani ni mchangamfu sana, aliiona picha yangu kwenye simu, akaniambia hiyo picha ya siku nyingi, nikamuuliza amejuaje akaniambia kwasababu ameona damu, mmh nikaguna kimoyomoyo ila nikaweka alama ya kuuliza kichwani.
Kwa mara ya kwanza nilimchukua mara moja tu, ikapita miezi mingi sikwenda kona baa, siku nilienda tena pale, nilimwona kwa mbali ananikazia macho na kuniangalia kwa makini, nilivyoendaga kumchukua mara ya pili, aliniambia mambo yote nilikuwa nafanya pale kona baa kwa usiku ule na yalikuwa kweli nikasema miezi mingi imepita tangu nimchukue ina maana hajanisahaugi.
Nina mashaka na huyu changu, ingawa ni Mweusi, mzuri ana kiuno nyigu, na chura Mkubwa, FB anatumia jina la Jack Chacha kwa wahudhuriaji wa kona baa mtakuwa mnamfahamu huyo mdada, kuna uwezekano mkubwa nilifanya ngono na a fallen angel (mmoja wa malaika aliefukuzwa mbinguni na shetani)
Wanaume tuwe makini..
SAwa ipi labda ya pesa ndefuMachangudoa hua wanakariri sana wateja wao,hasa ambao mulienda sawa bini sawia!
Maana mkiachana kwa mikwara baada ya gegedo,huwezi kukuta siku nyingine anatamani kuwa na wewe tena
Wanapaka asali na sukari[emoji23][emoji23][emoji23] papuchi ya changu iweje tamu inaingiliwa na watu karibia arobain na kwa nature ya wanaume wetu vibamia full kuogelea tu
Filamu zote zipo nyuma ya nguvu ya giza kwa lengo maalumu la uharibifu.Acha kudanganya watu wewe