Huyu chawa anapenda kukinanga sana Chama chetu. Anaishi kwa uchawa usio na mashiko

Huyu shoga mwandamizi apuuzwe tu aliwagonganisha Maalim na Zitto.
 
Siwezi kuwa mtu wa Chadema wala chama chochote hapa nchini, ๐™ž๐™ก๐™– ๐™ฃ๐™–๐™˜๐™๐™ค๐™Ÿ๐™ช๐™– ๐™ ๐™ช๐™ฌ๐™– ๐˜พ๐˜พ๐™ˆ ๐™ฃ๐™ž ๐™ ๐™ช๐™ž๐™ฃ๐™ฎ๐™ž๐™ข๐™– ๐™–๐™ ๐™ž๐™ก๐™ž ๐™ฃ๐™œ๐™ช๐™ซ๐™ช ๐™ฃ๐™– ๐™ช๐™ฌ๐™š๐™ฏ๐™ค ๐™ฌ๐™– ๐™ ๐™ช๐™ฉ๐™–๐™›๐™–๐™ ๐™–๐™ง๐™ž ๐™ ๐™ช๐™๐™ช๐™จ๐™ช ๐™ ๐™ž๐™ฏ๐™–๐™ฏ๐™ž ๐™˜๐™๐™– ๐™ ๐™š๐™จ๐™๐™ค.

๏ผฎ๏ฝ‰ ๏ฝ๏ฝ‰๏ฝ๏ฝ‰ ๏ฝ“๏ฝ‰๏ฝ™๏ฝ ๏ฝ—๏ฝ…๏ฝ—๏ฝ…!
 
Huyo hajasoma alama za nyakati anadhani kuinanga CHADEMA ndio atapata uteuzi. Akashughulikie kwanza kashafa yake ya kugombaniwa na wanaume wawili. Mtu una kashfa mbaya lakini bado unajitutumua kuisema CHADEMA

Huyo hajasoma alama za nyakati anadhani kuinanga CHADEMA ndio atapata uteuzi. Akashughulikie kwanza kashafa yake ya kugombaniwa na wanaume wawili. Mtu una kashfa mbaya lakini bado unajitutumua kuisema CHADEMA.
Suphian uje uthibitishe kama unao wawili au mmoja.
 
Mtahangaika Sana na cdm na jengo lake. Sifa ya chama siyo majengo Bali wanachama na viongozi wenye maoni jenzi yaani constructive vision na kipaji.
Hivi hivyo vyama vyenye majengo ya kisasa mmewaona viongozi wao wakiwa na mijadala na majadiliano ya Mara kwa Mara ikulu?
Endeleeni kukaa kwenye viambaza vya majengo yenu mkipunga upepo huku wasio na viambaza wakila upepo mwanana ikulu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ