Triple G
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 3,018
- 4,369
Hapana! Ila nitapewa hivi karibuni! Na nitarudi JF pia kutoa ushuhudaWewe mpaka Sasa hivi umeshapewa utajiri na mungu 🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana! Ila nitapewa hivi karibuni! Na nitarudi JF pia kutoa ushuhudaWewe mpaka Sasa hivi umeshapewa utajiri na mungu 🤣🤣🤣
Naomba picha ya huyo mungu ataekupa huo utajiriHapana! Ila nitapewa hivi karibuni! Na nitarudi JF pia kutoa ushuhuda
Relax! Kila mmoja achange karata zake vizuri!Naomba picha ya huyo mungu ataekupa huo utajiri
Hapan sija hama nimetingwa sna rfk angu, ndio maan unaniona kwa manati huku sasa hv nakuja hapo ilazo primary school kuna mtu nataka kumuonaNimekumis sana jukwaani jirani dr namugari au umehama mitaa yetu huku?
Wewe ni wale wale tuTuachane kufatilia mambo ya watu mkuu jali maisha yako mitandao itakukosesha amani yule kijana anasaka "fame"
Hamna kitu utakua masikini mpaka kifo chakoRelax! Kila mmoja achange karata zake vizuri!
Utajiri Ni Siri! Sababu unahusisha mambo ya Kiroho.
Muda ukifika nitakuja kuleta ushuhuda hapa sio leo wala kesho hata kama ni miaka 2 mbele jinsi mapito yangu mpaka nilipokuja kufanikiwa ili vijana wajifunze sometimes utajiri unakwenda na Bahati!
Wewe ni wale wale matapleiTuachane kufatilia mambo ya watu mkuu jali maisha yako mitandao itakukosesha amani yule kijana anasaka "fame"
Mind your own business we kapuku uliekubuhu....
Sawa pamoja mkuu...Hapan sija hama nimetingwa sna rfk angu, ndio maan unaniona kwa manati huku sasa hv nakuja hapo ilazo primary school kuna mtu nataka kumuona
Mm lzm nikufatilie kijan huyu ni tapeli na ni muhujumu uvhumiWe matajiri wa nchi hii wote unawajuwa?
Fanyeni kazi achenani na maisha ya watu binafsi
Mimi binafsi kufatilia mambo yako labda uwe ndani ya serikali lakini Kama ni mjasiliamali Kama Mimi Sina muda.
🤣🤣🤣 ( hapa hekima inatumika)! Hongera sana kwa kukikaribisha kizazi chako kwenye umasikini!Hamna kitu utakua masikini mpaka kifo chako
Huyo anatumika ku spin mambo kwenye mitandao ,kijana wa Waziri katibu wa Mama ,project ya Serikali kama alivyo Nabii Tito ,angekuwa anafanya bila kuwa na back up ya Kizimkazi zamani angekuwa ashatiwa NYAVUNI ,ukimuona KOBE juu ya mti ujue amewekwa huyo.Kijana naona anakuja kwa kas sna na hata saa hakuna haujuwae kuwa alikuwa nani na anafanya biashara aya kaz gani
Jana aliwachukuwa watoto yatima 120 na kwenda kuwanunulia vitu mlimani city iliyo gharimu milion 40
Jmaa huyu anatoa wapi pesa na serklali na usalama wa taifa huyu isije kuwa. Ni muhujumu uchumi kwahyo kwa kuwa tumia watoto yatima ili atakatishe pesa pesa
Naomba mamlaka imkamate kisha imuhoji
We ni masikini na umezaliwa Ili uwe masikini milele save hii comment🤣🤣🤣 ( hapa hekima inatumika)! Hongera sana kwa kukikaribisha kizazi chako kwenye umasikini!
HPna zote ni mashahid jins pesa ulivyo ngumu kuipataMkuu hela ina mambo mengi sana, tupambane sana kuitafuta bila kuchoka.
Nimekuelewa mkuu wanguHuyo anatumika ku spin mambo kwenye mitandao ,kijana wa Waziri katibu wa Mama ,project ya Serikali kama alivyo Nabii Tito ,angekuwa anafanya bila kuwa na back up ya Kizimkazi zamani angekuwa ashatiwa NYAVUNI ,ukimuona KOBE juu ya mti ujue amewekwa huyo.
Wewe ni wale wale tu
Aiseeh! Safi sana! Ngoja nitakufollow! Na nitaisave hii comment.We ni masikini na umezaliwa Ili uwe masikini milele save hii comment
Hakuna ajuwae siku ya kesho ya mtuWe ni masikini na umezaliwa Ili uwe masikini milele save hii comment