Huyu chief Goodlove anafanya biashara gani?

Huyu chief Goodlove anafanya biashara gani?

Chukua hii,
-Matajiri wa kweli hawatoi misaada kwa kujitangaza na hawana mashindano ya kuoneshana nani anapesa Zaidi
-Matajiri wanao jitangaza, kiuhalisia sio tajiri huyo. "Pesa haitaki kelele!" huyo ana njaa ya fedha na umaarufu.

Anachokifanya;
kuwalipa wenye media mbali mbali kutangaza au kuchapisha taarifa zake za kumsifia.(kumpaisha)
Ana miliki chawa wenye akaunti nyingi na kumsifia sifia kwenye social medias karibu zote.

Mpaka sasa, siyo yeye waa chawa wake wanao weza kusema jamaa ana biashara gani, hii hakuna 😀 😀.
Matajiri ni wale wamiliki wa mashamba, majengo, viwanda, makampuni kwenye sekta mbalimbali, hisa nk nk.
Lakini mkuu kufanya yote hayo inahitajika pesa ,regardless anapesa kweli au hana huwezi kufeki unapesa ukusanye yatima zaidi ya 120 wakale kuku KFC shoping mlimani city ,uwape mitaji mama ntilie na matukio mengine ya misaada kama hayo bila pesa hutoboi na wala tusingekuwa tunamuongelea hapa..san tungemsikia anagombe jambo mahali flani lakini mpango huo hana..ila maskini tunamakasiriko sana aisee emb maskini mwingine ajitokeze afake kama Chief tumuone
 
Lakini mkuu kufanya yote hayo inahitajika pesa ,regardless anapesa kweli au hana huwezi kufeki unapesa ukusanye yatima zaidi ya 120 wakale kuku KFC shoping mlimani city ,uwape mitaji mama ntilie na matukio mengine ya misaada kama hayo bila pesa hutoboi na wala tusingekuwa tunamuongelea hapa..san tungemsikia anagombe jambo mahali flani lakini mpango huo hana..ila maskini tunamakasiriko sana aisee emb maskini mwingine ajitokeze afake kama Chief tumuone
Anaijua vema siri ya utajiri huwa ni Utoaji! Haijalishi utajiri huo umetoka kwa mamlaka yapi! Siri huwa ni utoaji.
 
Kwa sisi wajamaa sawa, ila kwenye ulimwengu wa kibepari haya mambo hayapo, angalia Uingereza na Marekani vijana wadogo tu ni matajiri wakubwa, muhimu ujue siri ya mafanikio ni nini.

Na sisi ambao hatujafanikiwa tujifunze kwao, tufanye nini ili nasisi tufanikiwe.
Nchi za kibepari zina abudu mafanikio lakini ni yale yaliyopatikana kwenye njia halali na sio kwa ujanja au ulaghai.......kama vile kukwepa kodi, kuuza mihadarati na mengine yaliyo kinyume na sheria zao.......

Ndio maana kule kila tajiri ukifungua profiles zake unakuja kujua anajihangaisha na nini tofauti na huku kwetu.......
 
Kijana naona anakuja kwa kas sna na hata saa hakuna haujuwae kuwa alikuwa nani na anafanya biashara aya kaz gani


Jana aliwachukuwa watoto yatima 120 na kwenda kuwanunulia vitu mlimani city iliyo gharimu milion 40

Jmaa huyu anatoa wapi pesa na serklali na usalama wa taifa huyu isije kuwa. Ni muhujumu uchumi kwahyo kwa kuwa tumia watoto yatima ili atakatishe pesa pesa

Naomba mamlaka imkamate kisha imuhoji
Huyu ni mmoja tu kati ya watu wanaopata hela za manyoka toka kwa mganga wa kienyeji huko Tunduma.

Hela hizi ni mateso tu na hazina muda mrefu. Hayo yote yankujiinyesha anakula maisha ndiyo masharti aliyopewa. Hapaswi kukaa na fedha bali awe anagawa na kununua magari.

Huyu Chief Godlove Mwakibete kama anavyojiita atakuja kupotea tu hata familia isione mwili wake.

Wala msimuonee wivu, ni mateso tu
 
Kijana naona anakuja kwa kas sna na hata saa hakuna haujuwae kuwa alikuwa nani na anafanya biashara aya kaz gani


Jana aliwachukuwa watoto yatima 120 na kwenda kuwanunulia vitu mlimani city iliyo gharimu milion 40

Jmaa huyu anatoa wapi pesa na serklali na usalama wa taifa huyu isije kuwa. Ni muhujumu uchumi kwahyo kwa kuwa tumia watoto yatima ili atakatishe pesa pesa

Naomba mamlaka imkamate kisha imuhoji
duh! Bongo unafiki hautoisha ila una hoja usikilizwe mkuu
 
Kijana naona anakuja kwa kas sna na hata saa hakuna haujuwae kuwa alikuwa nani na anafanya biashara aya kaz gani


Jana aliwachukuwa watoto yatima 120 na kwenda kuwanunulia vitu mlimani city iliyo gharimu milion 40

Jmaa huyu anatoa wapi pesa na serklali na usalama wa taifa huyu isije kuwa. Ni muhujumu uchumi kwahyo kwa kuwa tumia watoto yatima ili atakatishe pesa pesa

Naomba mamlaka imkamate kisha imuhoji
Umeuliza swali kwa kuona kuwa million 40 ni fedha nyingi au kwa sababu alizitumia kwa watu wasiokuwa wa familia yake?
Mimi ningeweza kuuliza swali kama hili iwapo mwenye fedha angetumia angalau million 400!
 
Kijana naona anakuja kwa kas sna na hata saa hakuna haujuwae kuwa alikuwa nani na anafanya biashara aya kaz gani


Jana aliwachukuwa watoto yatima 120 na kwenda kuwanunulia vitu mlimani city iliyo gharimu milion 40

Jmaa huyu anatoa wapi pesa na serklali na usalama wa taifa huyu isije kuwa. Ni muhujumu uchumi kwahyo kwa kuwa tumia watoto yatima ili atakatishe pesa pesa

Naomba mamlaka imkamate kisha imuhoji
Imuhoji alikuibia Mkuu... Acha unoko na kujudge maisha ya mwanaume mwenzako ukute mwenzio anafukuliwa au pesa zinajaa ndoo akiamka asubh... Ni kama yule aliyekuwa akilala kwenye jeneza kama ni simple kajaribu...
 
Kijana naona anakuja kwa kas sna na hata saa hakuna haujuwae kuwa alikuwa nani na anafanya biashara aya kaz gani


Jana aliwachukuwa watoto yatima 120 na kwenda kuwanunulia vitu mlimani city iliyo gharimu milion 40

Jmaa huyu anatoa wapi pesa na serklali na usalama wa taifa huyu isije kuwa. Ni muhujumu uchumi kwahyo kwa kuwa tumia watoto yatima ili atakatishe pesa pesa

Naomba mamlaka imkamate kisha imuhoji
Masikin tafuta pesa,wenye hela wanawaza kuongeza mitaji yao na kukuza biashara mda wa kujadili mtu tunatoa wap😂😂
 
Nchi za kibepari zina abudu mafanikio lakini ni yale yaliyopatikana kwenye njia halali na sio kwa ujanja au ulaghai.......kama vile kukwepa kodi, kuuza mihadarati na mengine yaliyo kinyume na sheria zao.......

Ndio maana kule kila tajiri ukifungua profiles zake unakuja kujua anajihangaisha na nini tofauti na huku kwetu.......
Kwa mazingira hayo, karibia matajri wote wa huku watakuwa kwenye hiyo changamoto.
 
Lakini mkuu kufanya yote hayo inahitajika pesa ,regardless anapesa kweli au hana huwezi kufeki unapesa ukusanye yatima zaidi ya 120 wakale kuku KFC shoping mlimani city ,uwape mitaji mama ntilie na matukio mengine ya misaada kama hayo bila pesa hutoboi na wala tusingekuwa tunamuongelea hapa..san tungemsikia anagombe jambo mahali flani lakini mpango huo hana..ila maskini tunamakasiriko sana aisee emb maskini mwingine ajitokeze afake kama Chief tumuone
Nakumbuka Mzee R.A. Mengi,
Kila mwaka aliweka sherehe na kula chakula na wasio jiweza na walemavu.
Bila shaka biashara za Mengi unazijua.
 
Mtoa mada ana hoja asikilizwe.
Hajakataa mtu kuwa tajiri likini show za yule dogo zilitakiwa zitoe mwaliko wa kiuchunguzi kwa mamlaka za udhibiti mbali mbali ili kubaini uhalali wa hela zake.Tusipumbazwe na tambo zake twende deep tujue anajishughurisha na nini isije ikawa dogo amehack mfumo wa Control number malipo ya serikali yanaenda kwake.
Ana connections na kina Lugumi anyway nisije onekana nina wivu nae naishia hapa
 
Umewahi ona matajiri kama Rostam Aziz,Mo Dewji, GSM, Bakhresa wakipiga picha kama hivi?
 

Attachments

  • 464773763_526185046920330_1464972540281789278_n.jpg
    464773763_526185046920330_1464972540281789278_n.jpg
    64.8 KB · Views: 2
Mbona watu wivu unajuwa jamaa anaweza ingiza pesa ivo kwa anachokifanya endapo ataanzisha gofundme
 
Back
Top Bottom