Huyu chief Goodlove anafanya biashara gani?

Huyu chief Goodlove anafanya biashara gani?

Kijana naona anakuja kwa kas sna na hata saa hakuna haujuwae kuwa alikuwa nani na anafanya biashara aya kaz gani


Jana aliwachukuwa watoto yatima 120 na kwenda kuwanunulia vitu mlimani city iliyo gharimu milion 40

Jmaa huyu anatoa wapi pesa na serklali na usalama wa taifa huyu isije kuwa. Ni muhujumu uchumi kwahyo kwa kuwa tumia watoto yatima ili atakatishe pesa pesa

Naomba mamlaka imkamate kisha imuhoji
Hata kama ameiba angalau amewapa masikini kuliko wezi wanaotuibia huku wanaojenga Dubai.
 
Kijana naona anakuja kwa kas sna na hata saa hakuna haujuwae kuwa alikuwa nani na anafanya biashara aya kaz gani


Jana aliwachukuwa watoto yatima 120 na kwenda kuwanunulia vitu mlimani city iliyo gharimu milion 40

Jmaa huyu anatoa wapi pesa na serklali na usalama wa taifa huyu isije kuwa. Ni muhujumu uchumi kwahyo kwa kuwa tumia watoto yatima ili atakatishe pesa pesa

Naomba mamlaka imkamate kisha imuhoji
Angekuwepo Yule rais wa wanyonge uchwara angekuwa ameishazaa nae mtoto wa kiume anaeitwa "uhujumu uchumi"
 
Mhh mwanaume kabisa unakua snitch hvi eti serikali imchunguze, kwa taarifa yako hakuna tajiri asie mafia ndo wanaongoza kudhulumu na kumwaga damu na kukwepa makodi vigogo serikalini ndo usiseme basi wafatiliwe wote acha undeZi.
 
Relax! Kila mmoja achange karata zake vizuri!
Utajiri Ni Siri! Sababu unahusisha mambo ya Kiroho.

Muda ukifika nitakuja kuleta ushuhuda hapa sio leo wala kesho hata kama ni miaka 2 mbele jinsi mapito yangu mpaka nilipokuja kufanikiwa ili vijana wajifunze sometimes utajiri unakwenda na Bahati!
👏🏾👏🏾👏🏾
 
Hii BONGO ukiamua kusaidia shida ukiamua kuuchuna tabu… acha wivu mzee tafuta pesa
 
Kweli Wakuu ni lazima tuhoji huyu Chief Godlove na hela zake za maonyesho ana miradi gani ya kumuingizia hizo pesa za maonyesho ? Hatuna wivu lakini ni muhimu pia kujua, maana wenye hela huwa hawapigi nazo picha na kuweka mitandaoni. Tunachokiona mitandaoni ni bidhaa zao zinazowafanya waitwe matajiri lakini hawapigi picha na hela zao. Muhimu TRA Tanzania na vyombo vingine vilichunguze hili. Vijana wengi wanaathirika kisaikolojia wanavyoangalia hizi video na kejeli zake huyu Chief Godlove
Wewe unafanya shughuli gani inayokuingizia KIPATO, weka na ushahidi alafu ndio tutaendelea na huyo Godlove
 
Shetani akamchukua mwana wa adamu mpaka kwenye kilele cha mlima na kumuonyesha mali zote za dunia, akamawambia '' ukiniabudu na kunisujudia, nitakupa mali hizi zote za dunia.''

Kwa maelezo hayo, wewe maisha yako ni magumu kwa sababu hutaki kumsujudia.​
Bila shaka wala kumungunya maneno HUNA HELA kama unazo za KULA tu .
 
Huyo anatumika ku spin mambo kwenye mitandao ,kijana wa Waziri katibu wa Mama ,project ya Serikali kama alivyo Nabii Tito ,angekuwa anafanya bila kuwa na back up ya Kizimkazi zamani angekuwa ashatiwa NYAVUNI ,ukimuona KOBE juu ya mti ujue amewekwa huyo.
..Dah kumbe nabii Tito naye ni project ya serikali! ama kweli nchi hii ngumu sana. Si kwa yale maupumbavu anayofanya.!!
 
Kijana naona anakuja kwa kas sna na hata saa hakuna haujuwae kuwa alikuwa nani na anafanya biashara aya kaz gani


Jana aliwachukuwa watoto yatima 120 na kwenda kuwanunulia vitu mlimani city iliyo gharimu milion 40

Jmaa huyu anatoa wapi pesa na serklali na usalama wa taifa huyu isije kuwa. Ni muhujumu uchumi kwahyo kwa kuwa tumia watoto yatima ili atakatishe pesa pesa

Naomba mamlaka imkamate kisha imuhoji
Freemason huyo
 
Back
Top Bottom