Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kama umepiga mruzi jela inakuhusu; mimi simoMWANAMITINDO mwenye shepu ‘tata’ Corazon Kwamboka amechafuka mtandaoni mara baada ya kutupia picha ya nusu utupu akiwa na Mzungu anayedaiwa kuwa ni mchumba wake.
Corazon ambaye pia ni mwanasheria nchini Kenya, aliweka picha hiyo ikimuonesha akiwa kifua wazi na Mzungu huyo huku akiwa ameshikiliwa kifua chake.
“Mwendo wa ufukweni,” aliandika kwenye ukurasa wake wa Instagram.
Kutokana na picha hiyo, Corazon alipokea matusi mfululizo huku wengine wakimsema vibaya Mzungu wake kwa kitendo cha kumshikilia vibaya kifuani tena hadharani.
Waitaliano wanasifika sana kufumua "MARINDA".Amechanganyikiwa na penzi la muitaliano
Muitaliano lazima afyatue maboga hapo.Lazima mzungu atakuwa anamzibua mtaro Huyu dem
Ova
hahaaa eti limebaki solo ""! kwahiyo full time lina piga mlunzi..."" na hilo sio lakuuliza aisee...""lazima awe amebaki solo tu""Yaani hapo si kukohoa tu unaweza ukabanja kabisa.Wazungu huwaga hawanaga haramu,utakuta dada anacheka hapo linda hamna limebaki solo.
banja kabisa mkuu""Tunaruhusiwa kukohoa?
Mkuu nimekuelewa Watanzania ni watu wenye stress sana kuna watu wamechangis huu uzi utadhani wanamuelewa sana huyo CorrazonUkiwa na roho mbaya hata mtu akijiachia kivyake tu utaona cha kumtukana.
Na ukiwa na roho nzuri hata mtu akikutukana, utaweza kumsamehe kwa kumfikiria matatizo anayoweza kuwa nayo katikamawazo yake yaliyomfanya akutukane bila kukusudia.
Ndivyo tabia zinavyoweza kugeuza zuri kuwa baya, na baya kuwa zuri.
Ninachompendea huyu mdada sitojali yote wanayoongea juu yake nnachompendea ni kwanza ni mzuri,ana umbo zuri ukichanganya na hilo tako but mwisho kabisa ni msomi wa kutukuka sio kama hawa madada zetu wa bongo she iz beauty with brain achana na mambo unayoyaona kuhusu yeye maana hakuna mkamilifu chini ya juaMWANAMITINDO mwenye shepu ‘tata’ Corazon Kwamboka amechafuka mtandaoni mara baada ya kutupia picha ya nusu utupu akiwa na Mzungu anayedaiwa kuwa ni mchumba wake.
Corazon ambaye pia ni mwanasheria nchini Kenya, aliweka picha hiyo ikimuonesha akiwa kifua wazi na Mzungu huyo huku akiwa ameshikiliwa kifua chake.
“Mwendo wa ufukweni,” aliandika kwenye ukurasa wake wa Instagram.
Kutokana na picha hiyo, Corazon alipokea matusi mfululizo huku wengine wakimsema vibaya Mzungu wake kwa kitendo cha kumshikilia vibaya kifuani tena hadharani.
Mimi nina mtotommoja mkali sana wa ki Dominica huyo, kila akiniona anaiita "Mi Corazon".Mkuu nimekuelewa Watanzania ni watu wenye stress sana kuna watu wamechangis huu uzi utadhani wanamuelewa sana huyo Corrazon
Duh Kumbe ni mtaliano jamaa Yke sh ah basi atakuwa fundi wa mashine ya bito ya huyo demMuitaliano lazima afyatue maboga hapo.