Yani yule lawyer ni noma...mpaka wenyewe walimkubali aiseee......yani tena anaipingua hoja mpaka unajiona wewe ndiyo una makosa.Alishinda kesi kwa sasa hayupo aliondoka baada ya kesi kuisha.Mie mwenyewe nilivutiwa na sheri kisa yule kaka maana kila hoja alipanguliwa hadi raha
Wewe mambo ya familia yangu yanakuhusu nini shoga yangu?Unakeshaa..Mume Na watoto unawahudumia SAA ngapi au kama Miss Natafuta Gal alone??
Yule ni mafia sana na asingesimamiwa na yeye angeshindwa kesiYani yule lawyer ni noma...mpaka wenyewe walimkubali aiseee......yani tena anaipingua hoja mpaka unajiona wewe ndiyo una makosa.
Oooh asante.........kuna nyingine inaitwa ashes nayo nzuri......Ni etv ile ile japo sifatilii
Hahaha ni mtu mzima may be ...kakomaa uso!!
Abaongeza bidii ya kupungua ili asizeekeMifupa mitupu inabidi aongeze bidii kula sima.
Mmnhhakyanainii... !!! ulichopenda nini hapooo... sura kama anapuliza puto??
Yani watu wana vidhibitisho vyote lakini wanashindwa....nilipenda pale cctv ilivyoonyesha anavuta sigara usiku wa harusi yake.....dah yule lawyer alivyoipingua ile hoja dah......mpaka bro wangu akasema huyu mwanasheria kama nje ya uigizaji ni mwanasheria kweli....basi jamaaa ni kichwa.Yule ni mafia sana na asingesimamiwa na yeye angeshindwa kesi
Watu hawajui kama unene unazeesha mapema.Abaongeza bidii ya kupungua ili asizeeke
Sasa yule lawyer mwenyewe alimpa salute thambeka maana thambeka alijua kuwa inaweza kuja kuleta shida thats why alivyotoka kuutupa ule mwili akaenda kuvuta sigara akijua pale kuna cctv camera ila ikija kujulikana kuwa alitoka usiku asingizie alienda kuvuta sigara.Thambeka ni mafia sana yani hauwezi kumunderestimateYani watu wana vidhibitisho vyote lakini wanashindwa....nilipenda pale cctv ilivyoonyesha anavuta sigara usiku wa harusi yake.....dah yule lawyer alivyoipingua ile hoja dah......mpaka bro wangu akasema huyu mwanasheria kama nje ya uigizaji ni mwanasheria kweli....basi jamaaa ni kichwa.
Ipo mamie ni tamthilia nzuri sanakwanj Isidingo ipoo?
haiishii?!!!Ipo mamie ni tamthilia nzuri sana
Hahaha na haiwezi kuisha[emoji1]haiishii?!!!
heee....!!!hainifai!Hahaha na haiwezi kuisha[emoji1]
kwa kweli mana kuna wakati alimaifia aisee.........dah nilijua baada ya kurudi bongo sitaweza kuiona kumbe e.tv wanaonyesha.Sasa yule lawyer mwenyewe alimpa salute thambeka maana thambeka alijua kuwa inaweza kuja kuleta shida thats why alivyotoka kuutupa ule mwili akaenda kuvuta sigara akijua pale kuna cctv camera ila ikija kujulikana kuwa alitoka usiku asingizie alienda kuvuta sigara.Thambeka ni mafia sana yani hauwezi kumunderestimate
Yah inaoneshwa na hata ukimiss kuona unaweza iangalia kupitia youtubeKwa kwel
kwa kweli mana kuna wakati alimaifia aisee.........dah nilijua baada ya kurudi bongo sitaweza kuiona kumbe e.tv wanaonyesha.
Asante mwaya......Yah inaoneshwa na hata ukimiss kuona unaweza iangalia kupitia youtube