Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,512
- 23,925
Kuna moja inaitwa backstage ivi bado ipo? Nilikua naipenda enzi hizo hasa kuna mkaka alikua anaitwa Ziggy...looh inabidi nitenge muda wa kuangalia hivi vitu...korean series zimenitekaAisee imekua nzuri sana nyati kaondoka baba yake lerumo kaappear yani sasa hivi utamu ndio umefika mahali pake