Huyu dada, hawezi kunipa limbwata kweli?

Huyu dada, hawezi kunipa limbwata kweli?

Dah! Tunaenda kumpoteza comrade.
Hata kama anaenda kwa zile shughuli za giza lazma akuangalie na nyota yako boss
Mkuu, umenitisha sana. Kuna siku alikuwa anapiga safari kwenda field, kabla ya kwenda huko akaenda kwa mtaalamu wake kwa tiba. Aliporudi jioni, akanitafuta tukawa tunapiga bia, katika mazungumzo akaniambia hatonipa penzi mpaka siku tatu zipite, kwa sababu mtaalamu alimzuia, ili tiba ifanye kazi. Kwa hiyo kuna uwezekano walishanipiga chapo...Nami nataka nimkimbie kabla haijawa jioni
 
Anaenda kuliwa kimasihara
Analiwa kimasihara kama hivi Chifu [emoji28]
JamiiForums-1844625321.jpg
JamiiForums233507543.jpg
 
Acoding to bible inasema " ๐ข๐ง๐š๐ฌ๐ž๐ฆ๐š ๐ฎ๐ฌ๐ข๐ฆ๐ฎ๐š๐œ๐ก๐ž ๐ฆ๐ฐ๐š๐ง๐š๐ฆ๐ค๐ž ๐ฆ๐œ๐ก๐š๐ฐ๐ข ๐ค๐ฎ๐ข๐ฌ๐ก๐ข,,


๐ง๐š ๐ฆ๐ญ๐ฎ ๐ฒ๐ž๐ฒ๐จ๐ญ๐ž ๐š๐ง๐š๐ฒ๐ž๐ž๐ง๐๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐ฆ๐ ๐š๐ง๐ ๐š ๐ง๐ข ๐ฆ๐œ๐ก๐š๐ฐ๐ข ๐ฉ๐ข๐š,
wewe endelea kucheka cheka naye
Kabisa, waganga wa kienyeji, majini, mapepo, mizimu, wachawi/washirikina/wanga/walozi wote ni mawakala wa shetwani.

Jinsi ilivyo Airtel Money, M Pesa, Halo Pesa, Tigo Pesa ni makampuni ya kuwezesha miamala ya pesa kupitia simu, au JW, PT, TISS, MT, Mgambo, Uhamiaji, Fire na TANAPA ni vyombo vya ulinzi na usalama vya TZ.
 
Back
Top Bottom