THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
Jamaaa.. huyo demu alikutafta yeye ulipompa namba hilo ni jini.๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, umenitisha sana. Kuna siku alikuwa anapiga safari kwenda field, kabla ya kwenda huko akaenda kwa mtaalamu wake kwa tiba. Aliporudi jioni, akanitafuta tukawa tunapiga bia, katika mazungumzo akaniambia hatonipa penzi mpaka siku tatu zipite, kwa sababu mtaalamu alimzuia, ili tiba ifanye kazi. Kwa hiyo kuna uwezekano walishanipiga chapo...Nami nataka nimkimbie kabla haijawa jioniDah! Tunaenda kumpoteza comrade.
Hata kama anaenda kwa zile shughuli za giza lazma akuangalie na nyota yako boss
Mkuu, nifanyeje ili niwe naye mbali au asinidhuru?Mkuu kwa taarifa ni kwamba ameona nyota yako inafaa kwa kazi zake kaa kwa kutulia.
ha ha ha ha nipe tiba mkuuukinyenyekea kupitiliza tayarii ๐
๐๐๐ utamjuaje kama ni jini?Jamaaa.. huyo demu alikutafta yeye ulipompa namba hilo ni jini.๐
Kweli mkuu; ingawa huwa nampiga mabiti sana asijekuniunganisha kwenye mambo yake.Hofu inaua bwashee
Nitajuaje kama tayari alishanipiga kimbola? Inawezekana mpaka nimepata akili ya kuleta uzi humu, bado hakijaanza kufanya kazi.Kimbola ameshakupiga kitambo sana.
Watanzania bwana ajiombee vp wakati ana zini na mtu asiye mkewe, ni mungu yupi atamlinda na uchafu anaofanya. Sema akajikinge kwa waganga alilogwe[emoji3][emoji3][emoji3]Kama ww ni mkristu Fanya maombi sanaa yaani jiombee ww mwenyewe ,hata ulivyokuja kusema huku dada kashajua tiari [emoji23]
Si limbwata peke yake,
Atakumakumaliza kabisa๐ค
Nifanyeje ili nimuwahi kabla ya kufika huko?Anaweza kukuingiza kichawi katika biashara zake aka msukule.Omba Mungu Sana.
Analiwa kimasihara kama hivi Chifu [emoji28]Anaenda kuliwa kimasihara
Isijekuwa huyo Dada ndiye wewe mkulungwa, chonde chonde naomba usimuingize cha kike Kaka yetu bado tunamuhitaji sana kuimarisha uchumi wa Taifa letu [emoji847]Mimi namshauri huyo dada akupige tu limbwata..hata la buku 5 tu akili yako ikae sawa..maana unahangaika si mchezo
Nifanyeje ili nimuwahi kabla ya kufika huko?
K inazindikwa, ukichomeka hapo hutoki; inawezekana ikawa hivyo mkuu, siombi mechi tena, akitaka nitamwambia kitendea kazi changu kimepata ajaliAnaliwa kimasihara kama hivi Chifu [emoji28]View attachment 2164980View attachment 2164981
Analiwa kimasihara kama hivi Chifu [emoji28]View attachment 2164980View attachment 2164981
Analiwa kimasihara kama hivi Chifu [emoji28]View attachment 2164980View attachment 2164981
Kabisa, waganga wa kienyeji, majini, mapepo, mizimu, wachawi/washirikina/wanga/walozi wote ni mawakala wa shetwani.Acoding to bible inasema " ๐ข๐ง๐๐ฌ๐๐ฆ๐ ๐ฎ๐ฌ๐ข๐ฆ๐ฎ๐๐๐ก๐ ๐ฆ๐ฐ๐๐ง๐๐ฆ๐ค๐ ๐ฆ๐๐ก๐๐ฐ๐ข ๐ค๐ฎ๐ข๐ฌ๐ก๐ข,,
๐ง๐ ๐ฆ๐ญ๐ฎ ๐ฒ๐๐ฒ๐จ๐ญ๐ ๐๐ง๐๐ฒ๐๐๐ง๐๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐ฆ๐ ๐๐ง๐ ๐ ๐ง๐ข ๐ฆ๐๐ก๐๐ฐ๐ข ๐ฉ๐ข๐,
wewe endelea kucheka cheka naye
Yaani ukichomeka hapo, lazima urudiWanaume twala vingi?