CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Jamani wekeni qualifiers kwenye hizi posts zinazotujumuisha waafrika wote kuwa fungu moja.Dada anasema muda pekee ambao, Familia nyingi za Kiaafrica huwa pamoja ni wakati ambao wanajiandaa na msiba, Ila Hata siku moja Familia haiwezi kukaa pamoja ili kuanzisha biashara au project itakayo saidia ndugu zao ambao ni unemployed.
Ndungu wengi sana hupenda kuona baadhi ya ndugu zao wanapata shida ili waendelee kunyenyekewa.
Hii ni tofauti kwa Wahindi, Wachina na hata Waarabu, ingawa pia Wasomali wanajitahidi sana kwa hili.
Cha Kushangaza unakuta ndugu wana compete kwenye the same biashara, wote wana milik Mabasi, au wote wana Maduka ya Hardware.View attachment 1769402
Mkuu ni kuhusu Familia, yaani Familua yenu muungane mfanye mambo kwa panoja na sio kuoneana wivuTutaanzisha JF Saccos wala hakuna matata, Mkuu @maxence mello ataweka Neno soon
YesMkuu ni kuhusu Familia, yaani Familua yenu muungane mfanye mambo kwa panoja na sio kuoneana wivu
Inaongelewa family brother sio km mchina wa Guangzhou amsaidie wa mjii mwengineUsilolijua sawa na usiku wa giza hakuna watu wanaochukiana kama wachina tena afadhali waafrica wanaedit kidogo chuki!unajua unaweza kusema fulani yupo vizuri ni kwa vile hujui tu anachopitia
Hatuwezi kulazimishana, wahindi hawawezi kuwa waafrika na waafrika hatuwezi kuwa kama wahindi, sisi waafrika ndiyo tunaishi maisha halisi ya mwanadamu anavyotakiwa kuishi.Dada anasema muda pekee ambao, Familia nyingi za Kiaafrica huwa pamoja ni wakati ambao wanajiandaa na msiba, Ila Hata siku moja Familia haiwezi kukaa pamoja ili kuanzisha biashara au project itakayo saidia ndugu zao ambao ni unemployed.
Ndungu wengi sana hupenda kuona baadhi ya ndugu zao wanapata shida ili waendelee kunyenyekewa.
Hii ni tofauti kwa Wahindi, Wachina na hata Waarabu, ingawa pia Wasomali wanajitahidi sana kwa hili.
Cha Kushangaza unakuta ndugu wana compete kwenye the same biashara, wote wana milik Mabasi, au wote wana Maduka ya Hardware.View attachment 1769402
mwogope sana mtu mwenye njaa..Dada anasema muda pekee ambao, Familia nyingi za Kiaafrica huwa pamoja ni wakati ambao wanajiandaa na msiba, Ila Hata siku moja Familia haiwezi kukaa pamoja ili kuanzisha biashara au project itakayo saidia ndugu zao ambao ni unemployed.
Ndungu wengi sana hupenda kuona baadhi ya ndugu zao wanapata shida ili waendelee kunyenyekewa.
Hii ni tofauti kwa Wahindi, Wachina na hata Waarabu, ingawa pia Wasomali wanajitahidi sana kwa hili.
Cha Kushangaza unakuta ndugu wana compete kwenye the same biashara, wote wana milik Mabasi, au wote wana Maduka ya Hardware.View attachment 1769402
Ni ukweli wote. Na hii imeniamsha hata mimi binafsi. Tatizo la wafrika tabia mbaya sana. Wana familia wengine hata uwanyanyue vipi hawanyanyuki. Wewe wakati unataka kupanga familia ili kuboresha maisha mwenzako kila mwaka ni mjamzito. Sasa huyu tutsafiri naye dumila kufungua mashamba ya mahindi kweli?Dada anasema muda pekee ambao, Familia nyingi za Kiaafrica huwa pamoja ni wakati ambao wanajiandaa na msiba, Ila Hata siku moja Familia haiwezi kukaa pamoja ili kuanzisha biashara au project itakayo saidia ndugu zao ambao ni unemployed.
Ndungu wengi sana hupenda kuona baadhi ya ndugu zao wanapata shida ili waendelee kunyenyekewa.
Hii ni tofauti kwa Wahindi, Wachina na hata Waarabu, ingawa pia Wasomali wanajitahidi sana kwa hili.
Cha Kushangaza unakuta ndugu wana compete kwenye the same biashara, wote wana milik Mabasi, au wote wana Maduka ya Hardware.View attachment 1769402
Duuh ndio hayo kumbe?Hatuwezi kulazimishana, wahindi hawawezi kuwa waafrika na waafrika hatuwezi kuwa kama wahindi, sisi waafrika ndiyo tunaishi maisha halisi ya mwanadamu anavyotakiwa kuishi.
Au unasemaje ndugu yangu?Duuh ndio hayo kumbe?
Hadi Dada amesema ndo umeelewaNimepata kitu hapa ,
Familia nyingine ni za kishenzi kweli kweli. Ukijichanganya kuwaunganisha, wanaungana kukumaliza kwanza wewe.Dada anasema muda pekee ambao, Familia nyingi za Kiaafrica huwa pamoja ni wakati ambao wanajiandaa na msiba, Ila Hata siku moja Familia haiwezi kukaa pamoja ili kuanzisha biashara au project itakayo saidia ndugu zao ambao ni unemployed.
Ndungu wengi sana hupenda kuona baadhi ya ndugu zao wanapata shida ili waendelee kunyenyekewa.
Hii ni tofauti kwa Wahindi, Wachina na hata Waarabu, ingawa pia Wasomali wanajitahidi sana kwa hili.
Cha Kushangaza unakuta ndugu wana compete kwenye the same biashara, wote wana milik Mabasi, au wote wana Maduka ya Hardware.View attachment 1769402