Huyu Dada kaongea ukweli wa kutisha kuhusu Familia za Kiafrica

Huyu Dada kaongea ukweli wa kutisha kuhusu Familia za Kiafrica

Huyo dada kaongea ukweli....kwani "umoja ni nguvu na utengano ni uzaifu" ..ila kwa sisi waafrika nadhani **** mambo baadhi inabidi turekebishe....Kama vile mahusiano ya ndoa...wenzetu hawa wengi wanaoana ndugu kwa ndugu....

Inasadia kutunza mali za ukoo....tofauti na kuoa ukoo mwingine...lakini kubwa zaidi ni uaminifu....sisi waafrika wengi sio waaminifu....tunapenda mafanikio ya haraka Sana....wengi wamejaribu kufanya biashara na ndugu....wameishia kuibiwa tu....tena wengine kwa kushawishiwa na baadhi ya marafiki na ndugu wengine....kidogo wachaga na wakinga wanajitahidi.
 
Hatuwezi kulazimishana, wahindi hawawezi kuwa waafrika na waafrika hatuwezi kuwa kama wahindi, sisi waafrika ndiyo tunaishi maisha halisi ya mwanadamu anavyotakiwa kuishi.
Mh, Africa
 
Kuungana sawa, lakini unaungana kibiashara na mtu mwenye mtaji, sasa kama mtu hana mtaji unamsaidiaje ?
Familia? Wasomali huungana hata kama hawana kitu, hata kama ni mmoja yu mwenye pesa, wale jamaa wana umoja wa kutisha, Wakenya wanawajua sana
 
Huyo dada kaongea ukweli....kwani "umoja ni nguvu na utengano ni uzaifu" ..ila kwa sisi waafrika nadhani **** mambo baadhi inabidi turekebishe....Kama vile mahusiano ya ndoa...wenzetu hawa wengi wanaoana ndugu kwa ndugu.... Inasadia kutunza mali za ukoo....tofauti na kuoa ukoo mwingine...lakini kubwa zaidi ni uaminifu....sisi waafrika wengi sio waaminifu....tunapenda mafanikio ya haraka Sana....wengi wamejaribu kufanya biashara na ndugu....wameishia kuibiwa tu....tena wengine kwa kushawishiwa na baadhi ya marafiki na ndugu wengine....kidogo wachaga na wakinga wanajitahidi.
Anazungumzia Familia, Inamaana Familia yaani hata wewe na Dasa zako au kaka zako hakuna upendo?
 
Hapa hoja ni familia kuna watu wanasema tofaut na mada suala kubwa ni kubebana as a family that's all.
 
Dada anasema muda pekee ambao, Familia nyingi za Kiaafrica huwa pamoja ni wakati ambao wanajiandaa na msiba, Ila Hata siku moja Familia haiwezi kukaa pamoja ili kuanzisha biashara au project itakayo saidia ndugu zao ambao ni unemployed.

Ndungu wengi sana hupenda kuona baadhi ya ndugu zao wanapata shida ili waendelee kunyenyekewa.

Hii ni tofauti kwa Wahindi, Wachina na hata Waarabu, ingawa pia Wasomali wanajitahidi sana kwa hili.

Cha Kushangaza unakuta ndugu wana compete kwenye the same biashara, wote wana milik Mabasi, au wote wana Maduka ya Hardware.View attachment 1769402
Familia za kiafrika ubinafsi umetuadhiri, nakumbuka nipo chuo kipindi hicho nimepigika sina hata ada, nkamcheki ndugu yangu wa damu akanipotezea after one week nkamuona anaagiza gari mpya!
 
Kwanza ni kweli tunashirikiana Sana wakati wa shida hasa misiba. Ni wivu wa wazungu kwa maana kule kwao hawana huo ushirikiano na hata maiti yako inapaswa uizike kwa gharama zako au marehemu Kama aliacha chochote. Kwetu utazikwa hata na usiowajua.

Pili kule kwao hakuna social cohesion tuliyonayo sisi. Watakutana Christmas watapata na kabla ya Mwaka mpya washagomana Tena watakuja kuoatana labda Christmas inayokuja. Hivyo ni haki yao kushangaa jinsi waafrika tunavyofarijiana wakati wa kifo, harusi, na mengine yanauotuweka pamoja.

Tatu kwao mifumo ya fedha iliimarishwa baada ya mapungufu hayo hapo juu. Mfano: mtanzania unaweza usiwe na kazi Mwaka mzima ukala na kulala bila shida kwa kusaidiwa na Ndugu, jamaa na marafiki. Kule kwao haipo na kwa kukuona Hilo wakaboresha mifumo ya fedha na Urais wa kupata mikopo au unemployment benefit's. Huku kwetu haipo. Hivyo tusionenae wivu.

Tunatamani tupewe fedha kwa kukosa ajira haiwezekani. Na wao wanatamani kuzikwa na Ndugu jamaa na marafiki kw a wingi haiwezekani

Tunatamani iwe rahiisi kupata mikopo ya biashara kwa ribs nafuu haiwezekaniki lakini tuna fursa ndogo tunazotumia tunaishi ambazo kule kwao wanapesa hawana hizo fursa.

Akikupiga ngumu ya jicho we mpige ya sikio, akikuuliza umeonaje we muulize umesikiaje"

akili ya kuambiwa......

kwani nasema uongo Jamani..... Kwa sauti ya mmwendazake
 
Jamani wekeni qualifiers kwenye hizi posts zinazotujumuisha waafrika wote kuwa fungu moja.

Tukianza kufunguka ukweli wetu wengine hapa mtaona tunajitapa kama posts za Pedejee Kidukulilo.
Funguka boss
 
Dada anasema muda pekee ambao, Familia nyingi za Kiaafrica huwa pamoja ni wakati ambao wanajiandaa na msiba, Ila Hata siku moja Familia haiwezi kukaa pamoja ili kuanzisha biashara au project itakayo saidia ndugu zao ambao ni unemployed.

Ndungu wengi sana hupenda kuona baadhi ya ndugu zao wanapata shida ili waendelee kunyenyekewa.

Hii ni tofauti kwa Wahindi, Wachina na hata Waarabu, ingawa pia Wasomali wanajitahidi sana kwa hili.

Cha Kushangaza unakuta ndugu wana compete kwenye the same biashara, wote wana milik Mabasi, au wote wana Maduka ya Hardware.View attachment 1769402
Zille is pathological racist who seeks popularity by promoting racism. She is a piece of lunatic who lives in Africa. If we are that bad what are you doing in Africa? Whites are like animals. Whenever someone becomes old or dies it is over for that person. Most of them are buried like dogs. They are always loners even if they are rich. When it comes to humanity, Africans have a lot to teach these pretenders.
 
Mimi kwakweli sipendi masharti mengi kama ya dawa za mganga na visheria sheria vya ajabu ajabu huwa vinafanyaga usiinjoy maisha hata kama una fedha nyingi, Nahisi hiyo ndo sababu kubwa waafrica ni ngumu kufanya kitu cha pamoja.
 
Funguka boss
I am at peace with myself Bushmamy.

Kazi nyingine unafanya halafu unaachia walimwengu watoe hukumu.

Kujisifia sana itakuwa habari za Kidukulilo.

I am working on my humility.

Ila, walimwengu wakipindisha rekodi, kuwarudisha mstarini ni wajibu
 
Usilolijua sawa na usiku wa giza hakuna watu wanaochukiana kama wachina tena afadhali waafrica wanaedit kidogo chuki!unajua unaweza kusema fulani yupo vizuri ni kwa vile hujui tu anachopitia
Una hakika mkuu? Mbona hawa wanaoshirikiana kutuibia maliasili zetu hatuwaoni wakichuana?
 
Tatizo kwa waafrika wengi sio kuungana, tatizo ni individual mindset. Ni wachache sana wana spirit ya kufanikiwa especially kwa kusaidiwa.

Wengi wao ukimsaidia huchukulia kama unavyo vingi so hata akipoteza hana uchungu nacho maana kile ulichompa anakitoa thamani na anajua kikipotea utaweza kumpa tena.

Ukichunguza kwa makini wengi waliofanikiwa na wakabaki juu ni wale ambao kwa kila alichokipata amekitolea jasho kwaio anakithamini na kukilinda kwa umakini tofauti na kama angekipata kirahisi
 
Dada anasema muda pekee ambao, Familia nyingi za Kiaafrica huwa pamoja ni wakati ambao wanajiandaa na msiba, Ila Hata siku moja Familia haiwezi kukaa pamoja ili kuanzisha biashara au project itakayo saidia ndugu zao ambao ni unemployed.

Ndungu wengi sana hupenda kuona baadhi ya ndugu zao wanapata shida ili waendelee kunyenyekewa.

Hii ni tofauti kwa Wahindi, Wachina na hata Waarabu, ingawa pia Wasomali wanajitahidi sana kwa hili.

Cha Kushangaza unakuta ndugu wana compete kwenye the same biashara, wote wana milik Mabasi, au wote wana Maduka ya Hardware.View attachment 1769402
Hivi ni kweli waafrika tunapenda ndugu zetu wawe na shida ? Mi siamini.Ispokuwa Waafrika ni maskini hivyo tunashinxwa kusaidiana, kila mmoja zbakuwa hana.
Je member wa JF humpendi ndugu yako ?
Binafsi nimeshuhudia janaa zngy wakiwasapoti ndugu zao wapate elimu.
Binafsi nimemwita ndugu yangu aje mwezi wa sita asimamie mradi wangu, yeye hana kazi hivyo aje asimamie nae atapata share yake baade ajitegemee.
Sasa hao waafrika ni wafrika gani.
Kama mtu hana akusaidie nini?
 
Wazungu wangekuwa na upendo basi wangeendekeza extended family. Wazunhu ni baba mama na mtto, kaka,dada basi.m, kuna upenfo hapo?
Sisi kutupima na wazungu ni vitu viwili tofauti.
Kuna mdau jasema ndugu zake wanajenga, je kama wamekopa ili wajenge ?
 
Zille is pathological racist who seeks popularity by promoting racism. She is a piece of lunatic who lives in Africa. If we are that bad what are you doing in Africa? Whites are like animals. Whenever someone becomes old or dies it is over for that person. Most of them are buried like dogs. They are always loners even if they are rich. When it comes to humanity, Africans have a lot to teach these pretenders.
Ndio maana wana pet friends, mbwa,paka,mdoli nk.
Wanakuja kutalii kutazama nyanu, tembo punda, ndege mito mila beach,watu nk.
Halafu nasi yunahamasishana eti nendeni mkatalii. Umezaliwa mlima unauona kila siku, nyani wapo vijijini kwetu, beach kwa baadhi ya maeneo nk.
Wazungu hawana furaha ndio maana wanakuja kutalii Afrika walau wajifariji. Wazungu wnaupendo wa mikataba.
Nakuunga mkono mkuu.
 
Dada anasema muda pekee ambao, Familia nyingi za Kiaafrica huwa pamoja ni wakati ambao wanajiandaa na msiba, Ila Hata siku moja Familia haiwezi kukaa pamoja ili kuanzisha biashara au project itakayo saidia ndugu zao ambao ni unemployed.

Ndungu wengi sana hupenda kuona baadhi ya ndugu zao wanapata shida ili waendelee kunyenyekewa.

Hii ni tofauti kwa Wahindi, Wachina na hata Waarabu, ingawa pia Wasomali wanajitahidi sana kwa hili.

Cha Kushangaza unakuta ndugu wana compete kwenye the same biashara, wote wana milik Mabasi, au wote wana Maduka ya Hardware.View attachment 1769402
Wachina wengi tu masikini, nchi nyingi sana za Asia ni masikini, mfano Thailand, Philipine,Malaysia nk kuna mamilioni ya masikini. Angewashauri kwanza kwao waondokane na umasikini. Hata Inndia pakistan,Afaghanstan nk masikini ni wengi sana. Wakiisha masikini kule ndio aje atushauri Waafrika.
Waafrika wamekuwa wakipokea kila kinacholopokwa na hao watu weupe bola kukitafakari. Ana uhakika gani Waafrika
Watanzania wengi wa vijijini na mikoani huenda mjini wakiwafuata ndugu zao, baadae kuanzisha maisha yao nao huwaleta ndugu zao kutoka vijijini.
Mfano kitunda ni mkulya mmoja aliita wakulya wenzie wakaanzisha ufugaji wa kuku.
Kariakoo walikuwepo wamanyema, hivyo mmanyema yoyote akitoka kigoma alifikia kwa wmanyema kariako ,magomeni,tznfika au mwananyamaka , waha walikuwa wakipewa sehemu za kulala u siku pale mtaa wa kongo asubuhi wana amkia xmshughuli zao. Mnataka msaada gani ?
Hata hao wasomali ni waafria, hata wanaijeria nao ni waafrika.
Hao wachina wanataka tusaidiane kwa namna gani wandugu.
Kuna baadhi ya vijij ukienda unapewa shamba na wenyeji unsmalima bure, je kwao China ipo hivyo ?
Hao wachina hawajui utamaduni wa wafrika, watuache na maisha yeyu hawatulishi hawatuvushi zaidi ya kulermta uharibifu huku kwetu, pumbsmavu zao.
 
Wachina wengi tu masikini, nchi nyingi sana za Asia ni masikini, mfano Thailand, Philipine,Malaysia nk kuna mamilioni ya masikini. Angewashauri kwanza kwao waondokane na umasikini. Hata Inndia pakistan,Afaghanstan nk masikini ni wengi sana. Wakiisha masikini kule ndio aje atushauri Waafrika.
Waafrika wamekuwa wakipokea kila kinacholopokwa na hao watu weupe bola kukitafakari. Ana uhakika gani Waafrika
Watanzania wengi wa vijijini na mikoani huenda mjini wakiwafuata ndugu zao, baadae kuanzisha maisha yao nao huwaleta ndugu zao kutoka vijijini.
Mfano kitunda ni mkulya mmoja aliita wakulya wenzie wakaanzisha ufugaji wa kuku.
Kariakoo walikuwepo wamanyema, hivyo mmanyema yoyote akitoka kigoma alifikia kwa wmanyema kariako ,magomeni,tznfika au mwananyamaka , waha walikuwa wakipewa sehemu za kulala u siku pale mtaa wa kongo asubuhi wana amkia xmshughuli zao. Mnataka msaada gani ?
Hata hao wasomali ni waafria, hata wanaijeria nao ni waafrika.
Hao wachina wanataka tusaidiane kwa namna gani wandugu.
Kuna baadhi ya vijij ukienda unapewa shamba na wenyeji unsmalima bure, je kwao China ipo hivyo ?
Hao wachina hawajui utamaduni wa wafrika, watuache na maisha yeyu hawatulishi hawatuvushi zaidi ya kulermta uharibifu huku kwetu, pumbsmavu zao.sin auha

Wachina wengi tu masikini, nchi nyingi sana za Asia ni masikini, mfano Thailand, Philipine,Malaysia nk kuna mamilioni ya masikini. Angewashauri kwanza kwao waondokane na umasikini. Hata Inndia pakistan,Afaghanstan nk masikini ni wengi sana. Wakiisha masikini kule ndio aje atushauri Waafrika.
Waafrika wamekuwa wakipokea kila kinacholopokwa na hao watu weupe bola kukitafakari. Ana uhakika gani Waafrika
Watanzania wengi wa vijijini na mikoani huenda mjini wakiwafuata ndugu zao, baadae kuanzisha maisha yao nao huwaleta ndugu zao kutoka vijijini.
Mfano kitunda ni mkulya mmoja aliita wakulya wenzie wakaanzisha ufugaji wa kuku.
Kariakoo walikuwepo wamanyema, hivyo mmanyema yoyote akitoka kigoma alifikia kwa wmanyema kariako ,magomeni,tznfika au mwananyamaka , waha walikuwa wakipewa sehemu za kulala u siku pale mtaa wa kongo asubuhi wana amkia xmshughuli zao. Mnataka msaada gani ?
Hata hao wasomali ni waafria, hata wanaijeria nao ni waafrika.
Hao wachina wanataka tusaidiane kwa namna gani wandugu.
Kuna baadhi ya vijij ukienda unapewa shamba na wenyeji unsmalima bure, je kwao China ipo hivyo ?
Hao wachina hawajui utamaduni wa wafrika, watuache na maisha yeyu hawatulishi hawatuvushi zaidi ya kulermta uharibifu huku kwetu, pumbsmavu zao.
wengi wametafsri isivyo maana kila mtu na uelewa wake. huyu dada anachoshauri ni umhimu wa familia kua biashara. mfano babu yako angeanzisha biashara ya ufugaji mbuzi nk kisha baadae akawashirikisha watoto wake kwenye hiyo biashara. haya babu yako akizeeka, baba yako na ndugu zake wataendeleza ufugaji huo na kufanya maboresho tuseme waanzishe na mabucha yao kabisaa wauze nyama. badae baba yako na ndg zake waanze kuwashirikisha na nyie wawafundishe jinsi ufugaji unavyooenda mnakua huku mkijua kile wanachokifany wazee wenu kwahiyo mkimaliza masomo au mkifikia tu umri wa kuweza kuendesha biashara tayari mnaingia moja kwa moja kwenye biashara ya familia yenu huhangaiki hata kutafta ajira.

familia zenye utaratibu huo ni chache duniani kote wengi tuna umimi, wengi hawapendi kusaidia ndg zao kwasababu mbali mbali wanazozijua wenyewe. mf. babu yako alipambana akapata mali zake lakini watoto wake akawanyima hata mitaji au akawapa kidogo sana akawambia na ninyi pambaneni mtafte zenu halafu akifa zinagawanwa hovyo hadi na wasio husika kila aliepata mgao anaenda kufanya yake wakuuza anauza, wakuendeleza anaendeleza na wakupoteza wanapoteza na kuja kuanza kuombeleza kwa walioendeleza. baba nae atakuja kumfanyia mtoto wake kile kile alichofanyiwa na babu yake eeeeh tafta zako. sasa kila mtu atafte zake babu atafte, mtoto atafte, mjukuu atafte yaan kila kizazi kinaanza moja kutafta jiulize sasa kizazi gani kitakuja kua unafuu?

wewe huna rafiki yako ambae baba yake ana biashara lakini rafiki yako hajui hata biashara ya baba yake inavyoendeshwa? huna rafiki yako ambae mke na watoto wake hawajui hata mali za familia yao? hawapo watu wanao lala njaa na kwao mali zipo lakini kwa vile waalioa au kuolewa ndo wakawa wamejitoa kwenye hizo mali? wewe kwenu mnafuga kuku wa kula tu sio wa biashara lakini umejitegemea umeoa na una hari ngumu unaweza kwenda kwenu ukamshika kuku ukachinje ukale kwenu? yani kwa asilimia kubwa mtu akijitegemea anakua kama kajitoa kwenye familia. .....
 
wengi wametafsri isivyo maana kila mtu na uelewa wake. huyu dada anachoshauri ni umhimu wa familia kua biashara. mfano babu yako angeanzisha biashara ya ufugaji mbuzi nk kisha baadae akawashirikisha watoto wake kwenye hiyo biashara. haya babu yako akizeeka, baba yako na ndugu zake wataendeleza ufugaji huo na kufanya maboresho tuseme waanzishe na mabucha yao kabisaa wauze nyama. badae baba yako na ndg zake waanze kuwashirikisha na nyie wawafundishe jinsi ufugaji unavyooenda mnakua huku mkijua kile wanachokifany wazee wenu kwahiyo mkimaliza masomo au mkifikia tu umri wa kuweza kuendesha biashara tayari mnaingia moja kwa moja kwenye biashara ya familia yenu huhangaiki hata kutafta ajira.

familia zenye utaratibu huo ni chache duniani kote wengi tuna umimi, wengi hawapendi kusaidia ndg zao kwasababu mbali mbali wanazozijua wenyewe. mf. babu yako alipambana akapata mali zake lakini watoto wake akawanyima hata mitaji au akawapa kidogo sana akawambia na ninyi pambaneni mtafte zenu halafu akifa zinagawanwa hovyo hadi na wasio husika kila aliepata mgao anaenda kufanya yake wakuuza anauza, wakuendeleza anaendeleza na wakupoteza wanapoteza na kuja kuanza kuombeleza kwa walioendeleza. baba nae atakuja kumfanyia mtoto wake kile kile alichofanyiwa na babu yake eeeeh tafta zako. sasa kila mtu atafte zake babu atafte, mtoto atafte, mjukuu atafte yaan kila kizazi kinaanza moja kutafta jiulize sasa kizazi gani kitakuja kua unafuu?

wewe huna rafiki yako ambae baba yake ana biashara lakini rafiki yako hajui hata biashara ya baba yake inavyoendeshwa? huna rafiki yako ambae mke na watoto wake hawajui hata mali za familia yao? hawapo watu wanao lala njaa na kwao mali zipo lakini kwa vile waalioa au kuolewa ndo wakawa wamejitoa kwenye hizo mali? wewe kwenu mnafuga kuku wa kula tu sio wa biashara lakini umejitegemea umeoa na una hari ngumu unaweza kwenda kwenu ukamshika kuku ukachinje ukale kwenu? yani kwa asilimia kubwa mtu akijitegemea anakua kama kajitoa kwenye familia. .....
wengi wametafsri isivyo maana kila mtu na uelewa wake. huyu dada anachoshauri ni umhimu wa familia kua biashara. mfano babu yako angeanzisha biashara ya ufugaji mbuzi nk kisha baadae akawashirikisha watoto wake kwenye hiyo biashara. haya babu yako akizeeka, baba yako na ndugu zake wataendeleza ufugaji huo na kufanya maboresho tuseme waanzishe na mabucha yao kabisaa wauze nyama. badae baba yako na ndg zake waanze kuwashirikisha na nyie wawafundishe jinsi ufugaji unavyooenda mnakua huku mkijua kile wanachokifany wazee wenu kwahiyo mkimaliza masomo au mkifikia tu umri wa kuweza kuendesha biashara tayari mnaingia moja kwa moja kwenye biashara ya familia yenu huhangaiki hata kutafta ajira.

familia zenye utaratibu huo ni chache duniani kote wengi tuna umimi, wengi hawapendi kusaidia ndg zao kwasababu mbali mbali wanazozijua wenyewe. mf. babu yako alipambana akapata mali zake lakini watoto wake akawanyima hata mitaji au akawapa kidogo sana akawambia na ninyi pambaneni mtafte zenu halafu akifa zinagawanwa hovyo hadi na wasio husika kila aliepata mgao anaenda kufanya yake wakuuza anauza, wakuendeleza anaendeleza na wakupoteza wanapoteza na kuja kuanza kuombeleza kwa walioendeleza. baba nae atakuja kumfanyia mtoto wake kile kile alichofanyiwa na babu yake eeeeh tafta zako. sasa kila mtu atafte zake babu atafte, mtoto atafte, mjukuu atafte yaan kila kizazi kinaanza moja kutafta jiulize sasa kizazi gani kitakuja kua unafuu?

wewe huna rafiki yako ambae baba yake ana biashara lakini rafiki yako hajui hata biashara ya baba yake inavyoendeshwa? huna rafiki yako ambae mke na watoto wake hawajui hata mali za familia yao? hawapo watu wanao lala njaa na kwao mali zipo lakini kwa vile waalioa au kuolewa ndo wakawa wamejitoa kwenye hizo mali? wewe kwenu mnafuga kuku wa kula tu sio wa biashara lakini umejitegemea umeoa na una hari ngumu unaweza kwenda kwenu ukamshika kuku ukachinje ukale kwenu? yani kwa asilimia kubwa mtu akijitegemea anakua kama kajitoa kwenye familia. .....
Huyo dada anachomaanisha ni kuwa Waafrica ni masikini kwa sababu hatusaidiani, hakuna kingine ila anasahau Asia ina masikini wengi kuliko Africa kwa sababu ina population kubwa kuliko Africa, kwa nini wawepo masikini huko, hakuna familia.
Huyo dada ni mtoto mdogo asie na uwezo wa kizichambua jamii kwa mapana.
Wahindi ukiangalia movie zao tu unapata picha hali zao za maisha.
 
hiki kitu baada ya kukipigania muda mrefu mm na familia yetu tumeanzisha biashara ya bodaboda huku tukikopeshana pesa tunashukuru sasa tunazo 3 na tunapeana mikopo midogo midogo
ipo hivi ktk famila sio wote ni waelewa au wanaona kile unachokiona wewe
hata kwetu haikuwa rahisi sabab kuna wengine hawakutaka ma wengine waliishia njiàni
wachache tulio kubali tulianza na kutoa elf 10 kila mwezi na tupo 20 tukaikusanya hiyo hela huku mtu mwenye dharura anaruhusiwa kukopa kwa miezi 3 nila riba tuakenda kufika mwaka tukanunua bodaboda ikaendelea hivyo huku tunaendelea kulipa elf 10 kila.mwezi huku boda inafanya rejesho hadi sasa tuna boda 3 na tupo so good itafika kipindi tutafanya makubwa tu
Dada anasema muda pekee ambao, Familia nyingi za Kiaafrica huwa pamoja ni wakati ambao wanajiandaa na msiba, Ila Hata siku moja Familia haiwezi kukaa pamoja ili kuanzisha biashara au project itakayo saidia ndugu zao ambao ni unemployed.

Ndungu wengi sana hupenda kuona baadhi ya ndugu zao wanapata shida ili waendelee kunyenyekewa.

Hii ni tofauti kwa Wahindi, Wachina na hata Waarabu, ingawa pia Wasomali wanajitahidi sana kwa hili.

Cha Kushangaza unakuta ndugu wana compete kwenye the same biashara, wote wana milik Mabasi, au wote wana Maduka ya Hardware.View attachment 1769402
 
Back
Top Bottom