Mkuu hoyo kwani anatafauti gani na matapeli wengineWewe ni boya kama uliibiwa sina uhakika kama ni mwizi huyu dada lakini pia aliwahi kutoa tahadhari kwenye page yake ya insta kuhusu watu kutapeli kwa kutumia picha zake
Sasa kama wewe unatuma pesa kichwa kichwa wacha wakufundishe kazi.
Anyway nilitaka kusahau nina no yake nifuate PM utume 15000/= nikupe hiyo no
Kama mbwai na iwe mbwai
Tofauti yake ni kwamba huyu ni video queen wa muda mrefu watu tunamjuaMkuu hoyo kwani anatafauti gani na matapeli wengine
Hata fb yupo anatumia Lucy shayoNamuona sana Insta
Na wanaume ndvyo walivyo ukimkataa anaanza kukuchafuausikute amekukataa ukaamua kumchafua
Nimefuatilia hii thread muda sana ila huyo binti namfahamu anaitwa vicky mmenifanya nimtafute nikirudi nyumbani kwa sasa niko honey moon,
Namfahamu vilivyo ni binti anaejipenda sana nimeshampa lift mara nyingi na kwenye harusi yangu alikueopo
Sina hakika kama hizo sifa ni zake labda kwa kua mimi ni wa JF na Twitter huko kwingine sina muda napo uhenda iyo ikawa reason behind
Tapeli huyo,kuna mdau kasema anamjua anaitwa vickhuyu ana group whtap la Malaya anajiitaga Shani
Dah....aiseee........Sasa kama unatafuta wafu makaburini cha ajabu nini? Hiyo picha sio yake, ameichagua tu mtandaoni awaweke wakora sawa. Huo ndio unaitwa mtama kwa watoto. Na usijeshangaa mwenye kuyafanya mambo haya ni mwanaume
Ingekuwa anakutunuku hicho kitumbua wala isingekuwa shida ,,,,ubaya hicho kitumbua hakupiAcha atuibie si unaona mwenyewe huyo ni kuku wa kienyeji mubashara unatafuna hadi mifupa!