Huyu dada ni 'Star' gani?

Huyu dada anaitwa Renatha. Sdhan km ni star. Namuona kule fb. Kaolewa na mzungu anaishi Sweden km sikosei.
 
Huyu ni star of cow.
NYOTA YA NG'OMBE
 
Mimi nilijua mtu maarufu, maana picha zake zinavyosambaa na hata wengine wameziweka kama Profile.
Labda yaweza kuwa maarufu lakn navyoona mm sio maarufu sema kaolewa na mzungu wanaishi huko Sweden. Mtoto anaonekana anazunguka dunia. Kapga pale Udsm na ana mtoto mmoja wa kiume
 
anaitwa caroline mndeme
 
Anaishi Sweden mbona hizo picha zinaonekana zimepigwa na maphotographer wa kibongo tena uswahilini!
Kwan kuishi Sweden hawez kuja bongo? Hzo picha nyng ni za zamani kabla hajaolewa. Huyo mschana ni mbongo na kaolewa na mzungu.
Mfano wa picha ya zamani ni hii kipindi akiaa second year Udsm km anavyodai yyy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…