Huyu dada ni 'Star' gani?

Picha nilizoweka mimi na ulizoweka wewe ni Mbingu na Ardhi, hawafanani hata nukta.

Nimegundua kuwa humjui kabisa!


Angalia hiyo. Unajua picha zake tamu ni kipindi hajaaolewa km hyo hapo juu. Sasa ukimuangalia kipnd hiki anaaweza kuwa kabadilika kidogo.

Swez kukubshia maana hzo nii picha alizoweka kwny ukurasa wake mtandaoni akisema ni yy
 


Angalia hiyo. Unajua picha zake tamu ni kipindi hajaaolewa km hyo hapo juu. Sasa ukimuangalia kipnd hiki anaaweza kuwa kabadilika kidogo.

Swez kukubshia maana hzo nii picha alizoweka kwny kurasa wake mtandaoni akisema ni yy
Mkuu tafwadhali tupe jina lake la mtandaoni na sisi tufaudu kidogo
 
Mkuu nimepitia hiyo profile yake nachokiona ni vitu viwili tofauti, yeye na hizo picha kama aliwaambia ndio yeye basi aliwafunga kamba.

Lakini hatuwezi jua pengine amefanya Plastic Surgery.
Naweza kukubaliana na ww.

Lakn umeangalia zote? Huoni nyingne kazipost yy? Bas yawezekana ni kutafuta umaarufu tu
 
Mkuu nimepitia hiyo profile yake nachokiona ni vitu viwili tofauti, yeye na hizo picha kama aliwaambia ndio yeye basi aliwafunga kamba.

Lakini hatuwezi jua pengine amefanya Plastic Surgery.
Ni kweli mkuu na mimi nimepita huko naona tofauti kabisa na inavyodaiwa hapa!!
 
Black American girl's bado hawajaja tuu...
 
Awali nilimlaumu maana sio kosa lake, ameweka alichoaminishwa. Hizo picha zote kazitoa kwa huyo Renata Morgan ambaye anasema ndiye yeye, Je wewe ukizichukua hizo picha unakubaliana ni mtu mmoja?
Mbona nimeshatoa jibu langu Mkuu ? Nimesema hizo picha sio za mtu mmoja ni za wanawake tofauti kabisa achilia mbali huyu anayemfananisha naye

Wala hata sikuwa na shida ya kwenda ku prove hilo huko kwenye huo ukurasa wake
Kwa macho tu unawatofautisha hao wanawake
 
Uyo renata wa facebook anatafuta kiki mtandaoni kwa kupost picha kuwatoa udenda wanaume wenye uchu. Sweden my foot usikute yuko tandale kwa tumbo ila anachukua picha za watu.
Uyo wa kny pcha sio yule mwanafunzi wa moro sec anayetaka kua model??
 
Huyo demu haishi Sweden, kwa kwa hii picha hapa chini Huyo wa kati anafanya kazi mhotel pale mbezi beach samaki, kama receptionist nimeshawahi kula escort yao kwa Siku 1 na wageni wangu
 
Labda yaweza kuwa maarufu lakn navyoona mm sio maarufu sema kaolewa na mzungu wanaishi huko Sweden. Mtoto anaonekana anazunguka dunia. Kapga pale Udsm na ana mtoto mmoja wa kiume
Kumbe unamjua alafu unauliza au Promo ?
 
Mbna wa kawaida 2 tako kakuza kwa picha kma ustar basi kila mwanamke anaepiga picha kikato nae star
 
Kumbe unamjua alafu unauliza au Promo ?
Sjasema namjua kwmb nshawah kumuona. Ila nmesema naona anapost hzo picha fb na anasema ni yy. Na mara nyng naona marafk zake wakipost picha km hzo wakisema ni yy.
Soma post zangu za nyuma. Ndo maana nikawaambia jna analotumia ili kujirdhsha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…