Huyu dada yake na Kiba yuko bomba na anajistiri sana,hivi kaolewa???

PROF NDUMILAKUWILI

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2016
Posts
10,518
Reaction score
13,144
Huyu binti dada yake na msanii Kiba kiukweli anamwonekano bomba na anatupia sana mavazi ya kujistiri pia sijawahi sikia ana skendo za ajabu ajabu kama zile za dada zake na msanii wa upande wa pili za kujiachia hovyo hovyo.
Kama kuna rafiki zake humu Jf hivi huyu binti kasha olewa?ili kama bado tunaomwelewa tuanze michakato ya kupeleka barua kwa mama kiba.


-Ndumilakuwili-
 
Watu mna jaji kwa picha na kutoonekana kwa Shigongo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…