Huyu Demu alinifanyia Mupe Muruke akidhani Dunia imeishia pale kuzunguka.

Huyu Demu alinifanyia Mupe Muruke akidhani Dunia imeishia pale kuzunguka.

Alijiona mjanja akawapa K jamaa zangu wawili... Nami siku flani nikawa na njaa nikategemea nami angeni poza akanitolea mbavuni. Akaniruka. Ila next week yake alipokuwa na jamaa wakanywaaa weeeeee akaenda akampa jamaa.

Iliniuma sana. Kila nilipokuwa nikifikiria machozi yalikuwa yananitoka kuwa kosa langu lilikuwa nini. mbona mimi mhandisamu na pesa ninazo. Anyway nikamfingia tu vidole. Nikijua dunia inazunguka leo kwangu giza kesho kwako kutakuwa na giza.

Demu mwenyewe tunashinda naye humu JF jamaa wenzangu wanakula tu ila mimi ndo kwake nina gundu. Sasa leo kajichanganya. Kajichanganya vibaya anashida na pesa. Jamaa wale aliowapa utamu wamemtolea mbavuni. Mimi aliyeniruka ndo kanifuata nimsaidie.... Nikamuuliza yupo serious?

Nikakumbuka waswahili wanasema mtu akale alipopeleka mboga. Nikamuuliza aliwaona x , y and z? Kuhusu hiyo issue ya pesa. Akajibu ndiyo ila wote wamemtosa. Sasa eti mimi aliyeniruka ndo sasa nimsaidie. Anyway.... Mimi sikuweka roho ya kinyongo. Nimepa hiyo pesa. Tayari ananiuliza ratiba zangu za kesho.

Nimemwambia kesho ntaenda kuangalia mikia wakifungwa. Akataka tuende wote nikamwambia hapana nina kampani. Wala sitaki anilipe kwa kunipa K. K yake abaki nayo tu awape hao hao jamaa.
Mbona unalialia mzeya [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uchawi umeacha mkuu?? We si ndo ulimloga mfanyakazi mwenzako au sio wewe?...
 
Fse2TGNWIAAXJx0.jpg
 
Uchawi umeacha mkuu?? We si ndo ulimloga mfanyakazi mwenzako au sio wewe?...
Yule bwege? Alijiona yeye ndo yeye. Actually sikumroga nilimfanyia kisomo kwa jamaa mmoja. Bwege sana yule jamaa alijifanya anajua ya huku sisi tukamwonesha ya kule.
 
Bado mnaweweseka?

Kumbe kukandwa kubaya eeeeh [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ha ha ha.... So ameendelea kuniruka? Ilinouma mwanzon why jamaa zangu awape mimi aniruke? Wakati jamaa wamejilia kimasikhara sana. Eti mimi ndo nimbembelezeee na kumchukulia serious.
Sasa wewe kunyimwa umenyimwa na Hela umetoa, waliopewa hawajatoa hata mia sasa nani fala hapo bwege wewe
 
Bado mnaweweseka?

Kumbe kukandwa kubaya eeeeh [emoji23][emoji23][emoji23]
Unafurahi? Mi nataka tu niwaoneshe nyie mademu kuwa wanaume pia tupo wajeuri. Na pesa sikumnyima makusudi aelewe kuwa sasa papuchi yake siyo deal kwangu.
 
Nimemwonesha tu kuwa sisi wahuni hatuna moyo wa Finyango. Sasa ndo ananilazimisha nimle nami sitaki. Maana amekuja kwa gear ya kukopa atarudisha after two weeeks. Nimemwambia haina shida nitasubiri hizo two weeks.
 
Umefanya vyema mkuu abakie tu na utamu wake...

Tupate burudani kidogo😊😊😊😊

It's studio 4.5
Aahh! baby de antony
(Eeh) Handsome
(Ha hee) baby de antony
Handsome
ta ta raa
Clever dee, clever dee (ta ta raa)
Poz kwa poz (Na Diamond)
Poz kwa poz (wasafi)
Poz kwa poz (wasafi)
Eeeh aah, Eeh aah

Basi ndo ule utamu (utamu)
Ulonizidi hamu, nami nkakupa peremende
Kama hauna nidhamu, haramu
Nipe mambo matamu, ila kama hutaki niende
Basi ndo ule utam (utamu)
Ulonizidi hamu, nami nakakupa peremende

Kama hauna nidhamu, haramu
Nipe mambo matamu, ila kama hutaki niende
Ukikata utamu utamu
Ukicheka utamu utamu
Ukilia (utamu utamu)
Utamu utamu, utamu utamu
Unavyikata aaih (utamu utamu)
Aah aah iih Ukicheka (utamu utamu)
Ukilia (utamu utamu)
Utamu utamu, utamu utamu

Uzuri wako kama wema pale kati
Nmekuteka hata jiga hakupati
Hata wengine wakisema
Umeshatenda nami nakupenda kwa dhati
Na sura yako tamu kama joketi
Japokuwa babe umekosa kidoti
Nami nipe tena kwa kitanda
Asa pale kwenye busati
Lemme say mamy leo
Ninachoomba onesha upeo
Unipe mambo ya kwenye video
Unipe maraha maradha mavitu ya dunia hii

Hii mamy leo
Ninachoomba onesha upeo
Unipe mambo ya kwenye video
Unipe maraha maradha mavitu ya dunia hii
Unavyo kata utamu utamu
Ukicheka utamu utamu
Ukilia utamu utamu
Utamu utamu, utamu utamu
Aah aah iih unavyokata utamu utamu
Aa aah aiih ukicheka utamu utamu
Ukilia utamu utamu yeah yeah
Utamu utamu, utamu utamu
Sitaki mwingine
Kipenzi ni wewe
Ni wewe

Mie sitaki mwingine
Pistol yangu unaikoki
Unaanza kuishikashika
Na machozi ya kububujika
Mwishoni na yenyewe inakudedisha
Uuuuh!! unaikoki mama
Unaanza kuishikashika
Na machozi ya kububujika
Mwoshoni na yenyewe inakudedisha (paaaah)

Mamy leo
Ninachoomba onesha upeo
Unipe mambo ya kwenye video
Unipe maraha maradha mavitu ya dunia hii
Mamy leo
Ninachoomba onesha upeo
Unipe mambo ya kwenye video
Unipe maraha maradha mavitu ya dunia hii

Handsome yule mtoto wa kariakoo
Awesome kolabo na diamond
Handsome yule mtoto wa kariakoo
Na diamond eeh ahh (poz kwa poz)
Handsome yule mtoto wa kariakoo
Awesome kolabo na diamond
Handsome yule mtoto wa kariakoo
Na diamond eeh ahh

Unavyo kata utamu utamu
Ukicheka utamu utamu
Ukilia utamu utamu
Utamu utamu, utamu utamu
Unavyo kata utamu utamu
Ukicheka utamu utamu
Ukilia utamu utamu (yeah)
Utamu utamu (yeah), utamu utamu
Basi ndo ule utam (utamu)
Ulonizidi hamu, nami nakakupa peremende
Kama hauna nidhamu, haramu
Nipe mambo matamu, ila kama hutaki niende
Basi ndo ule utam (utamu)
Ulonizidi hamu, nami nakakupa peremende
Kama hauna nidhamu, haramu
Nipe mambo matamu, ila kama hutaki niende

Kama ningeweza uje ishi nami huku Dar
Ningeweza uje ishi nami huku Dar
Kama ningeweza uje ishi nami huku Dar
Ningeweza uje ishi nami huku Dar
Kama ningeweza uje ishi nami huku Dar
Ningeweza uje ishi nami huku Dar
Kama ningeweza uje ishi nami huku Dar
Ningeweza uje ishi nami huku Dar
 
Kwa lugha nyingine umelipia papa ambayo hujaigusa na ambao hawatoi pesa wanakula bure
 
Back
Top Bottom