Huyu Demu alinifanyia Mupe Muruke akidhani Dunia imeishia pale kuzunguka.

yani ulilia kisa kunyimwa au hahahah
 
Shule zimefungwa?
 
Haha hii mupe muruke imenichekesha sana.

Dawa yake akiomba pesa tena mpe ila akiomba appointment nenda na manzi nyingine kwenye hiyo appoitment yake muwe watatu 😂
Huu ushauri mzuri sana. Nitaufanyia kazi.
 
wiki iliyopita nimewatumia mabinti 5 wa yanga baada ya kufungwa alfu kumi kila mmoja leo mmoja wao ananiuliza leo unaratiba gani any way nimemchukulia mcheshi tuh
 
Mkuu, pesa yako ndo tunaimalizia bucket ya mwisho hapa na nyingine iliyobaki nimetop up kidogo kuchukua room niende nikamchakate. Ahsante kwa Zakkat fitr.
 
Kqahyo ulikua unaumia nn sasa kama leo hutaki k muda mwingine leteni chai za maziwa sio maziwa ya chai
 

Haya maneno ulimueleza kweli???
 
Mkuu, pesa yako ndo tunaimalizia bucket ya mwisho hapa na nyingine iliyobaki nimetop up kidogo kuchukua room niende nikamchakate. Ahsante kwa Zakkat fitr.
Ha ha ha.... Nitawagegeda wote wawili shauri zenu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…