Huyu Dereva tax atanivunjia ndoa yangu, nifanyeje?

Mtoa mada naona unafurahia kugegedwa nje na inaonekana huyo dereva tax angekugegeda vizuri siku ya kwanza bado ungeendelea nae. Jambo usilolijua ni kwamba maranyingi sisi wanaume tukiwa na mechi ya nje huwa tunajiandaa vilivyo na show lazima iwe ya kibabe ili urudi tena. Hali kadhalika, mumeo nae huko nje huwa anapigaga show za kibabe na ndiyomaana anaendelea kupewa papuchi huko nje(unless kama anahonga sana). Mechi za nje ni za mara chache na ndiyomaana huyo mchepuko wako anazimudu. Sasa wee achana na mumeo uende huko akuweke ndani uangalie kama haitafika siku uone kama vile perfomance imepungua na utatoka tena utafute mwingine. Kuhusu dereva tax mweleze ukweli kuwa yupo kwenye harakati za kuolewa au kufanywa jambo lolote kwakuwa mumeo ameshajua hivyo akome mara moja na ikibidi aombe msamaha kwa mumeo kwakukutongoza(kumkosea heshima).
 
We hufai kuolewa na inaonekana uliolewa ili ujulikane una ndoa nakushauri utumie kondomu
 
Asije akawa mke wangu maana mazingira yote haya ni kama ananiongelea mimi
 
ACHA UJINGA
 
Ili jukwaa gani? !!! Au nimezama jukwaa la makaaaaahaba bila kujua, watu Kama hawa wafunguliwe jukwaa lao ili tuwe tunaingia huko Na mioyo mkononi , huu unyama hatari , Mke wa mtu geto la kuhazima ukaingia hahaha I hope hii ni story tu sio Kweli
 
Suluhisho ni kuacha kutombesha tu... usikubali mpango wa kufumania
 
***** kama wewe ni mke wangu nakuchinja.... seriously, unapata mwanaume nje unasema ana hofu ya Mungu?.... hofu ya mungu wakati... daah

bora hata ungesema anakupiga vizuri tijue, unampa hadi sifa za kiroho eti ana hofu ya Mungu, kilichokutolea heshima zzaidi ni kupigwa kwenye gheto la masela wakati umeolewa... hiki kingenifanya nikuzike mzzimamzima
 
Wewe ulipoamuwa kuwa na huyo jama ina maana Mr. hakuwa wa maana kwako, na lazima upo upo tu siyo kwamba hapo pamoja na kufuma sms mna mapenzi hapo, sasa mi naona bora uamue, bila kumudhalilisha mshikaji wako wa past, hivyo basi, ukimsingizia we mwenyewe nafsi itakusuta na hutakaa kwa amani. Naona potezea, maana hapo hamna ndoa ya kustiri tena
 
Eti jamaa wa church ni God fearing person!!! Hahahahahahaaa you must be kidding....angekunjunja???
 
Mwambie huyo mzinzi mwenzio kwamba siri imefichuka na kuna mpango kabambe wa kumtenda kazi kwa hiyo acheze mbali sana na wewe au ahame kitaa kwa muda kwani kama ni "Yahaya" hana maskani kuna shida gani hata akihama mji kabisa! Lakini pia nikushauri uache uasherati; utapata janga kubwa sana siku za usoni, kisasi cha kujitoa mhanga ni kisasi kibaya!
 
Halafu juzi kati kuna mchizi wangu dereva tax aliniomba nimwachie geto apige mdada flani ambae ni mke wa mtu. Utakuwa ni wewe bilashaka. Kama vipi njoo tuu PM unipe 10% yangu maana hakuna tena namna. Laasivyo nakuanika. Nimekasirika sana kumdhalilisha mr
 
Pana mwingine kule kasema mungu kamsaidia hg kaondoka na from now on hatacheza game za nyumbani haya huyu tena anasema huyo jamaa yake ni GOD fearing!wanafanya uzinzi hiyo God fearing ipo wapi?sema mnafanya featuring na huyo maluuni mwenzio
 
duuuh GOD fearing halafu mzinzi acha dharau wewe halafu umemtoa kanisa unaloabudu naaamn huko mnasafari ya kwenda kuzimu na siyo mbinguni
 
Wadada kama hawa ndiyo wananiogopesha mm kuoa!Mke wa mtu ana majamaa 10 wa pembeni!Ww dada utaleta kisonono na gono nyumbani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…