Huyu Dereva tax atanivunjia ndoa yangu, nifanyeje?

Huyu Dereva tax atanivunjia ndoa yangu, nifanyeje?

unapoabudu!!
He's caring..God fearing
Fantastic performance.


Ooh GOD forbid! !
 
Me naomba kukushauri ktk jambo ambalo hutaki hata kulizungumzia,jambo ambalo umelihalalisha na huyo unayemuita "God fearing person" wakati Mungu amekataza kutamani mwanamke wa mtu mwingine. Ila yeye sio kutamani tu,anajilia kama kaoa yeye na bado unamsifu ni God fearing person.

Hebu heshimu ndoa yako,kama mumeo ni mlevi na ameshindwa kuachana na hicho kimada chake,ulijaribu kuwahusisha wazazi wenu au wasimamizi wa ndoa yenu??

Mbona solutions zipo nyingi,rahisi na nzuri tu??

Katika familia,mama ndio unategemewa kusimamia malezi ya watoto wako kwa kiasi kikubwa maana ww ndio utakuwa nao sana kuliko Baba.

Sasa kwa style hiyo tutarajie nini kwa wanao?.

Anyway huyo mnayeabudu nae ukiona sio,this time jaribu mfanyakazi mwenzio.
 
Mpe taarifa huyo tax driver mwambie uliteleza tu kwa kufanya naye mapenzi na unampenda sana mumeo, pia mweleze kuwa message yake imeonwa na mumeo, na anapanga kumfumania ili naye ageuzwe mke na mabaunsa.

So aachane kabisa na wewe. Natumai atakuelewa na mpango wa mumeo utashindikana. Kama dereva ataendelea kuwa king'ang'anizi, mwache aolewe, kiranga huwa haliliwi.
Ushauri mzuri ila huyo tax driver akiambiwa ataona kama fix, yani anabaniwa
 
Haki ya mama ndo maana siwaamini wanawake wa kanisani na watumishi wao duh eti god fearing and good performance, Jesus Classic!!
 
Sababu ya mumeo kupiga ulabu ni wewe kuwa kicheche tangu zamani ndio maana akatafuta plan b yaani kupiga ulabu, na nakuhakikishia atakaye pigwa kiboga ni huyo mshirika mwezako na wala sio tax driver subiri uone kama unadhani mumeo ni fala,
 
Mpe taarifa huyo tax driver mwambie uliteleza tu kwa kufanya naye mapenzi na unampenda sana mumeo, pia mweleze kuwa message yake imeonwa na mumeo, na anapanga kumfumania ili naye ageuzwe mke na mabaunsa.

So aachane kabisa na wewe. Natumai atakuelewa na mpango wa mumeo utashindikana. Kama dereva ataendelea kuwa king'ang'anizi, mwache aolewe, kiranga huwa haliliwi.
nimekukubali
 
mtoa mada, si ungesema kuwa umetoa penzi kwa dereva tax coz ulipenda mwenyewe, sio kwasababu mmeo alikucheat au uyo dereva alikusumbua...bila shaka una wanaume wengine wanaokukaza mbali na uyo dereva irene naipanoi
 
Hapo unaomba ushauri kumalizana na dereva wakati huo yule God fearing mnaendeleaa nitakuja kukushauri ukileta part two yatakapokuwa yameharibika kwa huyu God fearing
 
Nashindwa nikutukane tusi lipi!!!!!? yaani umekwenda kutafuta mchepuko sehemu unayoabudia wakati ww ni mke wa mtu
siwezi kukuacha bure Shenz w...... mat.....!
 
Huoni hata aibu kumuita mtu God fearing wakati ndio mshirika wako kwenye uasherati! Shame on you!

Siku "God fearing" ni kuhudhuria ibada tu ma kutoa sadaka.
Bila aibu wanaitana God fearing.......
Tunarahusisha sana haya mambo!!!!
 
ID yako inaonyesha kabsa you are chronic prostitu, acha hyo tabia ni mbaya
 
Bwana awe nanyi,

Nimekuja kwenu nahitaji ushauri, ni urgent.

Hapo katikati niligundua kuwa Mr wangu ana kimada, tukasumbuana na kugombana sana juu ya hilo, ingawa sikumshika live ila ni wazi kwamba alikua nae, mbali na hilo pia ni mlevi kupindukia.

Nilipoona suala hilo linaendelea nikaona isiwe tabu, nikatafuta suluhisho.

Na mimi nikatafuta mtu pembeni aniliwaze, kuna dereva tax huwa tunamtumia sana kwa shughuli za kifamilia,
Nikaamua kumzawadia penzi huyo jamaa, sio kwamba nilimuanza mimi, bali alikua akinisumbua siku nyingi, hivyo nikaona nimkubali.

Katika mara zote nilizokutana nae (6) niligundua kwamba hajiwezi kabisa, nikaona this relationship is not worth it, nikampiga chini, pia mtu mwenyewe hana hata Chumba cha kulala, Mara zote anaazima Chumba kwa mwenzie, ingawa ukimuona kwa nje ubrazamen alionao huwezi amini, ni type ya wale wanaume wenye kuongea sana na mbwembwe nyingi lakini hamna lolote.

Nikakata mawasiliano nae na kumwambia asinitafute tena, akaanza kunililia nisimwache, anapiga simu muda wote kunibembeleza, kila akiniona hata na watu wengine Mtaani, labda Dukani n.k atakimbia haraka kuja na kuomba tuongee pembeni hadi kero.

Hivi karibuni nimepata mtu mwingine mahali nakoabudu, he is so caring, ni mtu mwenye Upendo sana, hanywi pombe na ananipenda kwa dhati, he is god fearing and above all his performance is much better than my husband and the tax driver's.

Juzi kumetokea shida kubwa baada ya Mr kushika sms ya yule tax driver akiendelea kunibembeleza, Nikalazimika kusema kuwa jamaa ndio ananifuatilia, ananitaka kimapenzi, akasema kama ni kweli na ili aniamini Basi tufanye fumanizi la kutengeneza, kwamba nikubaliane na yule kijana wa tax kwenda nae guest na yeye aje atufumanie na kundi la mabaunsa wamwoe wote.

Nikikataa mpango huo basi atajua nilishatembea nae, na mimi najua yule tax driver kwa vyovyote vile atauvaa huo mtego, namuonea huruma sitaki apate aibu hiyo wakati tulishaachana nae.

Nipo njia panda naombeni ushauri nifanyeje?
Huko mnakoabudu kumbe mnatiana pia................hii dunia hii
 
Eti anahofu ya Mungu, halafu mmeshavunja amri ya sita.
Wewe endelea kugawa tu kama pipi, habari za kanisa weka pembeni yani hapo ndipo ulipo haribu.
 
Back
Top Bottom