Huyu Dereva tax atanivunjia ndoa yangu, nifanyeje?

Huyu Dereva tax atanivunjia ndoa yangu, nifanyeje?

Bwana awe nanyi,

Nimekuja kwenu nahitaji ushauri, ni urgent.

Hapo katikati niligundua kuwa Mr wangu ana kimada, tukasumbuana na kugombana sana juu ya hilo, ingawa sikumshika live ila ni wazi kwamba alikua nae, mbali na hilo pia ni mlevi kupindukia.

Nilipoona suala hilo linaendelea nikaona isiwe tabu, nikatafuta suluhisho.

Na mimi nikatafuta mtu pembeni aniliwaze, kuna dereva tax huwa tunamtumia sana kwa shughuli za kifamilia,
Nikaamua kumzawadia penzi huyo jamaa, sio kwamba nilimuanza mimi, bali alikua akinisumbua siku nyingi, hivyo nikaona nimkubali.

Katika mara zote nilizokutana nae (6) niligundua kwamba hajiwezi kabisa, nikaona this relationship is not worth it, nikampiga chini, pia mtu mwenyewe hana hata Chumba cha kulala, Mara zote anaazima Chumba kwa mwenzie, ingawa ukimuona kwa nje ubrazamen alionao huwezi amini, ni type ya wale wanaume wenye kuongea sana na mbwembwe nyingi lakini hamna lolote.

Nikakata mawasiliano nae na kumwambia asinitafute tena, akaanza kunililia nisimwache, anapiga simu muda wote kunibembeleza, kila akiniona hata na watu wengine Mtaani, labda Dukani n.k atakimbia haraka kuja na kuomba tuongee pembeni hadi kero.

Hivi karibuni nimepata mtu mwingine mahali nakoabudu, he is so caring, ni mtu mwenye Upendo sana, hanywi pombe na ananipenda kwa dhati, he is god fearing and above all his performance is much better than my husband and the tax driver's.

Juzi kumetokea shida kubwa baada ya Mr kushika sms ya yule tax driver akiendelea kunibembeleza, Nikalazimika kusema kuwa jamaa ndio ananifuatilia, ananitaka kimapenzi, akasema kama ni kweli na ili aniamini Basi tufanye fumanizi la kutengeneza, kwamba nikubaliane na yule kijana wa tax kwenda nae guest na yeye aje atufumanie na kundi la mabaunsa wamwoe wote.

Nikikataa mpango huo basi atajua nilishatembea nae, na mimi najua yule tax driver kwa vyovyote vile atauvaa huo mtego, namuonea huruma sitaki apate aibu hiyo wakati tulishaachana nae.

Nipo njia panda naombeni ushauri nifanyeje?


wewe ni bingwaa
 
Sijaelewa uliposema A new guy HAS A FEAR OF GOD! Which God are you referring my dear? He is fucking somebody's wife and ur here telling us he has fear of GOD! Go for Malaria tablets huenda imepanda kichwani!
 
Huyu Ni Muhongo.Kama (MUHONGO).Hakuna mwanamke Anayeweza kutoka nje ya Ndoa na Akawa hivyo.wanawake wa Namna hii wakijaribu huwa Wanakufaga kimaisha Kabisaaa
 
Mwanamke mwenye akili hasingechepuka kisa mume wake amechepuka, ulitakiwa ukae nae myamalize ( kama kweli anachepuka maana hata uhakika)

Wewe ndio tabia yako kuchepuka mama, maana kama ingekuwa sio tabia yako, pale ulipotembea na dereve tax ukambwaga (tunachukulia ulikuwa umeteleza) ungerud kujenga ndoa yako na kuweka vitu sawa na mumeo, Ila we kiboko ukapata mwingine tena kanisani
 
Nimekuelewa hapo kwenye god fearing kwani hiyo god ulivyoiandika siyo ya yule nayemfahamu mimi.
 
Nimekuelewa hapo kwenye god fearing kwani hiyo god ulivyoiandika siyo ya yule nayemfahamu mimi japo wengi hawajakuelewa.
 
Bwana awe nanyi,

Nimekuja kwenu nahitaji ushauri, ni urgent.

Hapo katikati niligundua kuwa Mr wangu ana kimada, tukasumbuana na kugombana sana juu ya hilo, ingawa sikumshika live ila ni wazi kwamba alikua nae, mbali na hilo pia ni mlevi kupindukia.

Nilipoona suala hilo linaendelea nikaona isiwe tabu, nikatafuta suluhisho.

Na mimi nikatafuta mtu pembeni aniliwaze, kuna dereva tax huwa tunamtumia sana kwa shughuli za kifamilia,
Nikaamua kumzawadia penzi huyo jamaa, sio kwamba nilimuanza mimi, bali alikua akinisumbua siku nyingi, hivyo nikaona nimkubali.

Katika mara zote nilizokutana nae (6) niligundua kwamba hajiwezi kabisa, nikaona this relationship is not worth it, nikampiga chini, pia mtu mwenyewe hana hata Chumba cha kulala, Mara zote anaazima Chumba kwa mwenzie, ingawa ukimuona kwa nje ubrazamen alionao huwezi amini, ni type ya wale wanaume wenye kuongea sana na mbwembwe nyingi lakini hamna lolote.

Nikakata mawasiliano nae na kumwambia asinitafute tena, akaanza kunililia nisimwache, anapiga simu muda wote kunibembeleza, kila akiniona hata na watu wengine Mtaani, labda Dukani n.k atakimbia haraka kuja na kuomba tuongee pembeni hadi kero.

Hivi karibuni nimepata mtu mwingine mahali nakoabudu, he is so caring, ni mtu mwenye Upendo sana, hanywi pombe na ananipenda kwa dhati, he is god fearing and above all his performance is much better than my husband and the tax driver's.

Juzi kumetokea shida kubwa baada ya Mr kushika sms ya yule tax driver akiendelea kunibembeleza, Nikalazimika kusema kuwa jamaa ndio ananifuatilia, ananitaka kimapenzi, akasema kama ni kweli na ili aniamini Basi tufanye fumanizi la kutengeneza, kwamba nikubaliane na yule kijana wa tax kwenda nae guest na yeye aje atufumanie na kundi la mabaunsa wamwoe wote.

Nikikataa mpango huo basi atajua nilishatembea nae, na mimi najua yule tax driver kwa vyovyote vile atauvaa huo mtego, namuonea huruma sitaki apate aibu hiyo wakati tulishaachana nae.

Nipo njia panda naombeni ushauri nifanyeje?
We si ukajiunge na ISIS tu au BOKOHARAMU, maana hao ndo wanachanganya changanya mambo namna hii!
Dini humohumo, maovu humohumo, visingizio humohumo.
 
Kama script ya movie vile!!

Haukuwa hata na uhakika wa 100% kuwa mumeo ana-cheat ila umeenda mbali zaidi na ku-revenge kwa kujitafutia michepuko!

Umelikoroga mwenyewe hilo, linywe tu hata kama ni chungu!

Imeandikwa mwanamke asiye na busara huivunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe!
 
Asilimia kumi ya maisha yetu ni tunayoyafanya,asilimia tisini ni majibu ya tuliyoyafanya... Kumbuka kufanya mambo mazuri yatokanayo na maamuzi sahihi ili majibu yake yawe mema kwako... Umeharibu asilimia kumi zako tegemea asilimia tisini kukuelemea,umejitengenezea maisha magumu na unapaswa kuwa nayo
 
Well nothing gud has ever come out of infedility...sasa chakufanya ni kukiri tuu umempa utamu tax man. Duh....kwanza una moyo guy performance mbovu but ulimpa papuchi mara sita!!
 
sasa mtu kama ww hua unaenda pa kuabudia shetaniii au maana hiyo God fearing nadhan Satan ndo God wako maana kama ni sehem za kuabudia kwel naona nyie ndo hufanya wapagani tuzid kua wengi
 
Back
Top Bottom