ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Amepost uzi mmoja mara madawa ya kulevya sijui nyumba za wasanii ni haeleweki[emoji16][emoji16]Kuna ID mpya inajiita Dodoma Demand yupo Kama mwehu sijui shida Ni kwamba hajui kiswahili au anatafuta Nini anachafua Hali ya hewa kwenye jukwaa la siasa kiufupi haeleweki naomba mods wafanye Jambo maana anakera Sana unakuta kapost licomment refu halafu utopolo mtupu inatupa shida sasa.kweli tuna stress ila Sasa kwa style anayokuja nao kutuboa anazidi kututia hasira.
Huyu hapaKuna ID mpya inajiita Dodoma Demand yupo Kama mwehu sijui shida Ni kwamba hajui kiswahili au anatafuta Nini anachafua Hali ya hewa kwenye jukwaa la siasa kiufupi haeleweki naomba mods wafanye Jambo maana anakera Sana unakuta kapost licomment refu halafu utopolo mtupu inatupa shida sasa.kweli tuna stress ila Sasa kwa style anayokuja nao kutuboa anazidi kututia hasira.
[emoji2]Halafu akarudi salamaAsiyeeleweka JF KATEKWA NA KUPELEKWA KUSIKO JULIKANA
H
[emoji3][emoji3][emoji3] kwake Dodoma DemandAhaaaa mkuu, nataman tungepata wote juice ningekuwa karibu ulipo maana mm si mnywa pombe, nimecheka kweli.......kahaaaaaa
H
Hiyo angle ya ubaguzi wa wivu huna nini!? Basi fresh tuelekee kwa cheka
Labda ametokea facebook, jaribu kumuuliza vizur,[emoji847]Kuna ID mpya inajiita Dodoma Demand yupo Kama mwehu sijui shida Ni kwamba hajui kiswahili au anatafuta Nini anachafua Hali ya hewa kwenye jukwaa la siasa kiufupi haeleweki naomba mods wafanye Jambo maana anakera Sana unakuta kapost licomment refu halafu utopolo mtupu inatupa shida sasa.kweli tuna stress ila Sasa kwa style anayokuja nao kutuboa anazidi kututia hasira.
Muache mgeni aisee🤡Kuna ID mpya inajiita Dodoma Demand yupo Kama mwehu sijui shida Ni kwamba hajui kiswahili au anatafuta Nini anachafua Hali ya hewa kwenye jukwaa la siasa kiufupi haeleweki naomba mods wafanye Jambo maana anakera Sana unakuta kapost licomment refu halafu utopolo mtupu inatupa shida sasa.kweli tuna stress ila Sasa kwa style anayokuja nao kutuboa anazidi kututia hasira.
Nikopeshe Ten mkuu, kama hauna nigei buku 2 nibaki nakudai buku 8
[emoji23][emoji23][emoji23]Nikopeshe Ten mkuu, kama hauna nigei buku 2 nibaki nakudai buku 8
Nikopeshe Ten mkuu, kama hauna nigei buku 2 nibaki nakudai buku 8
😀😀 "Nikopeshe mkate boss ,kama hamna mkate nipe buku nikatafute kwengine"Nikopeshe Ten mkuu, kama hauna nigei buku 2 nibaki nakudai buku 8
Bujibuji ukisitaajabu ya Dj DON NALIMISON utayaona ya Dodoma DemandHata mie huwa namwelewa sana JOTI
Naenda Darasani kusoma KISWAHILI KIDOGO labda chuo chako kitapata hela maana sijui MIYEYUSHO AU CHEKABujibuji ukisitaajabu ya Dj DON NALIMISON utayaona ya Dodoma Demand
Jamaa miyeyusho zaidi ya yule aliye muona yesu na mke wake.
Naenda chuo cha TAF...SIRI LABDA WAKO BUSY KWENYE MFUMO WA WOTE TUKUBALIKE KWENYE JAMII..... NI KUTENGENEZA MBADALA WA JF