Huyu Dodoma Demand mnamuelewa kweli?

Huyu Dodoma Demand mnamuelewa kweli?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Kuna ID mpya inajiita Dodoma Demand yupo Kama mwehu sijui shida Ni kwamba hajui kiswahili au anatafuta Nini anachafua Hali ya hewa kwenye jukwaa la siasa kiufupi haeleweki naomba mods wafanye Jambo maana anakera Sana unakuta kapost licomment refu halafu utopolo mtupu inatupa shida sasa.kweli tuna stress ila Sasa kwa style anayokuja nao kutuboa anazidi kututia hasira.
 
Kuna ID mpya inajiita Dodoma Demand yupo Kama mwehu sijui shida Ni kwamba hajui kiswahili au anatafuta Nini anachafua Hali ya hewa kwenye jukwaa la siasa kiufupi haeleweki naomba mods wafanye Jambo maana anakera Sana unakuta kapost licomment refu halafu utopolo mtupu inatupa shida sasa.kweli tuna stress ila Sasa kwa style anayokuja nao kutuboa anazidi kututia hasira.
Amepost uzi mmoja mara madawa ya kulevya sijui nyumba za wasanii ni haeleweki[emoji16][emoji16]
 
Kuna ID mpya inajiita Dodoma Demand yupo Kama mwehu sijui shida Ni kwamba hajui kiswahili au anatafuta Nini anachafua Hali ya hewa kwenye jukwaa la siasa kiufupi haeleweki naomba mods wafanye Jambo maana anakera Sana unakuta kapost licomment refu halafu utopolo mtupu inatupa shida sasa.kweli tuna stress ila Sasa kwa style anayokuja nao kutuboa anazidi kututia hasira.
Huyu hapa
 
Na hapa kaja [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

CCM wanaokoteza hadi mataahira wanawapa smart kitochi wanapiga kazi mradi tu anajua KKK
 
Hiyo angle ya ubaguzi wa wivu huna nini!? Basi fresh tuelekee kwa cheka
Screenshot_20211007-151917.jpg
 
Kuna ID mpya inajiita Dodoma Demand yupo Kama mwehu sijui shida Ni kwamba hajui kiswahili au anatafuta Nini anachafua Hali ya hewa kwenye jukwaa la siasa kiufupi haeleweki naomba mods wafanye Jambo maana anakera Sana unakuta kapost licomment refu halafu utopolo mtupu inatupa shida sasa.kweli tuna stress ila Sasa kwa style anayokuja nao kutuboa anazidi kututia hasira.
Labda ametokea facebook, jaribu kumuuliza vizur,[emoji847]
 
Kuna ID mpya inajiita Dodoma Demand yupo Kama mwehu sijui shida Ni kwamba hajui kiswahili au anatafuta Nini anachafua Hali ya hewa kwenye jukwaa la siasa kiufupi haeleweki naomba mods wafanye Jambo maana anakera Sana unakuta kapost licomment refu halafu utopolo mtupu inatupa shida sasa.kweli tuna stress ila Sasa kwa style anayokuja nao kutuboa anazidi kututia hasira.
Muache mgeni aisee🤡
Screenshot_20211007-194848.png
 
Dodoma si ndio Kuna ile hospital kubwa ya wale walioyumba madishi ,si maanishi hivyo ila najalibu kuvuta hisia
 
Unaweza kukuta ni Mod mgeni ngoja aje akupige ban
 
Back
Top Bottom