Huyu dogo angefanya hiki kituko kwenye nchi za kidikteta, angenyongewa baharini

Huyu dogo angefanya hiki kituko kwenye nchi za kidikteta, angenyongewa baharini

Kenyata anajielewa kiti ni kitu kidogo sana kwake, angekua uchwaaaaaa hapo shidaaaaaa
 
Ase wakati unasoma hiyo post unatakiwa kuvaa Ukenya ndipo utaielewa. Soma tena mjomba.
[emoji23][emoji23][emoji23] nimevaa ukenya bhana nimeielewa asante sana mjomba
 
[emoji23][emoji23][emoji23] nimevaa ukenya bhana nimeielewa asante sana mjomba
Basi sawa karibia Kikuyu tunafanyanga party ya kumpongeza Uhuru vile yeye ako very considerate and passionate na raia yake.
 
Kama angekuwa ni yule UCHAWAREER tayari angekuwa nyyma ya nondo sa hivi
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Achana na tyrant. Utaumia.
 
Basi sawa karibia Kikuyu tunafanyanga party ya kumpongeza Uhuru vile yeye ako very considerate and passionate na raia yake.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mna kazi kweli kweli
 
Back
Top Bottom