Huyu Dotto Magari hilo jina la Dotto amelitolea wapi aisee?

Huyu Dotto Magari hilo jina la Dotto amelitolea wapi aisee?

Doto Mwana kino kitambo huyo alikua na pacha wake ambapo wote waliingia kwenye uteja,piga sana debe manyanya,mwizi sana yan oysterbay police na central palikua kwake,doto aliacha unga na wizi,anaishi mtaa wa brazil kino kwenye nyumba yao ya urithi,wapangaj wake ni wanawake hapangish wanaume,weng anawagonga mwenyewe anawasamehe kodi😂,ukiibiwa simu laptop,tv ukimchek doto mzigo wako unarudishiwa ila umpoze robo ya hicho ulichoibiwa,cha muhimu muda ulioibiwa usivuke masaa 24
 
1. Anasema yeye ndo anaibeba Kinondoni lakini Kinondoni yenyewe imeanza kumjua baada ya kuanza kuuza sura instagram. ( He doesn't look familiar)

2. Anajiita mzaramo halafu anaitwa " Dotto" since when Mzaramo akaitwa Dotto. Mama angu ni mzaramo wa Malui (Kisarawe rural: Ukiwa Msanga sokoni unaiacha njia ya kwenda Chole unakata kushoto) sijawahi kusikia mzaramo anaitwa Dotto.

Huyu Dotto Magari hilo jina la Dotto amelitolea wapi aisee? Mzaramo hata akizaa mapacha hawaiti kulwa na Dotto atawaita Hassan na Hussein au Halima na Hadija etc..kuitana kulwa na Dotto ni utamaduni wa wasukuma na wanyamwezi

3. Anaongea sana kama mtoto wa jinsia pendwa. He claims to be from Kinondoni but he doesn't talk 'according to Kinondoni'. Watoto wa Kino hawaongei kama anavyo ongea yeye. " something is missing in him" (elewa vizuri maana ya " na " kama zilivyo tumika kwenye sentensi tajwa hapo juu)

# Dotto Magari!!! Do u tell me what I think ur telling me?

Time will tell.
Wanazuoni tunaweza kukuunga mkono kulingana na baadhi ya views zako lakini kumbuka huyu dotto anatangaza biashara ya mtu yeye sio mwenye hizo mipira inayohuzwa yeye ni salesman anatumia personal skills zake kwaajiri ya kuongeza thaman ya biashara tuzidi kumfatilia na kujua ubora wa magari na kuongeza sold volume.
 
1.

Huyu Dotto Magari hilo jina la Dotto amelitolea wapi aisee? Mzaramo hata akizaa mapacha hawaiti kulwa na Dotto atawaita Hassan na Hussein au Halima na Hadija etc..kuitana kulwa na Dotto ni utamaduni wa wasukuma na wanyamwezi
Ukikutana na Msukuma au Mnyamwezi anaitwa Shija, basi ujue umekutana na Dotto.
 
1. Anasema yeye ndo anaibeba Kinondoni lakini Kinondoni yenyewe imeanza kumjua baada ya kuanza kuuza sura instagram. ( He doesn't look familiar)

2. Anajiita mzaramo halafu anaitwa " Dotto" since when Mzaramo akaitwa Dotto. Mama angu ni mzaramo wa Malui (Kisarawe rural: Ukiwa Msanga sokoni unaiacha njia ya kwenda Chole unakata kushoto) sijawahi kusikia mzaramo anaitwa Dotto.

Huyu Dotto Magari hilo jina la Dotto amelitolea wapi aisee? Mzaramo hata akizaa mapacha hawaiti kulwa na Dotto atawaita Hassan na Hussein au Halima na Hadija etc..kuitana kulwa na Dotto ni utamaduni wa wasukuma na wanyamwezi

3. Anaongea sana kama mtoto wa jinsia pendwa. He claims to be from Kinondoni but he doesn't talk 'according to Kinondoni'. Watoto wa Kino hawaongei kama anavyo ongea yeye. " something is missing in him" (elewa vizuri maana ya " na " kama zilivyo tumika kwenye sentensi tajwa hapo juu)

# Dotto Magari!!! Do u tell me what I think ur telling me?

Time will tell.
Kinoclain si ndo kumejaa mas0
 
Maisha yanachange ,nilijua masikhara kuhusu Dotto kwamba alipitia wizi ,uteja na upiga debe ! Kwasasa anapiga MAOKOTO sana.
Kuna miaka fulani nlikuwa na coaster route ya posta mwananyamala alinioigia sana debe,alikuwa msumbufu sana,uwizi,uteja
Haya mambo ya uchawa upambe alikuja kuingia alipoingia kwenye udalali wa magari pale nyuma ya mwanamboka na si unajua jamaa anaongea sana kwa hiyo wakina sawe na mapedeshe wengine wakawa wanapenda kampani yake
Ila dotto alikuwa kama mnyama teja,anakaba nk
Kuna wakati alikula kipondo nusu ya kufa aise
Ila all in all watu wanabadilika aise,na alipo3nda jela tu ndy unga akauacha
Wenzie wengi walishatangulizwa mbele ya haki

Ova
 
Back
Top Bottom