Huyu Dube mnataka afunge magoli mangapi ili aonekane ni bora? Goli 8, assist 7 siyo mchango mdogo kwenye timu!

Huyu Dube mnataka afunge magoli mangapi ili aonekane ni bora? Goli 8, assist 7 siyo mchango mdogo kwenye timu!

Makavuli

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2024
Posts
1,425
Reaction score
1,829
Bado nasema dube ni mshambuliaji mzuri pamoja na mapito anayopitia.

Mpaka sasa sidhani kama Kuna namba 9 kwenye ligi nzima mwenye mchango wa magoli kwenye timu yake anayemzidi dube!

Kama yupo nitajieni,,magoli 8 na asisti 7 ni jumla ya mchango wa goli 15 kwenye timu,,sio jambo jepesi ukizingatia ndio msimu wake wa kwanza akiwa na yanga!

Kukosa kwake magoli inamtokea mchezaji yeyote uwezi kutumia Kila nafasi unayopata kwenye Kila mchezo na siku azilingani!
Bado ndio mchezaji wa kwanza kufunga hat trick kwenye ligi msimu huu kama ni rahisi wengine wameshindwa nini kufunga hat trick?

Dube namshauri asisikilize sauti za wavimba macho apige kazi na kazi yake tunaiona aendelee kupambana!
 
Dube bwana!

Mechi anayotakiwa afunge goli 5 tena za wazi anafunga goli 1.

Mchezaji mwepesi kama mabua.

Yanga ilete striker wa kueleweka ikishindikana Mzize aanzie kati Dube atokee sub labda ataongeza juhudi.
 
Mkuu watu wa Simba wasikubabaishe hata wao wanataka kuwa na mtu kama Dube
Hapo unaikosea heshima timu ya Simba.

Dube ni mchezaji wa mechi ndogo ndogo na hukamia mechi na Simba.

Tangu aje ameshafunga magoli mangapi. Jee unaweza kumweka kwenye orodha ya wafungaji Bora wa ligi Kuu?

Dube hajafikia levo ya kina Fiston Mayele, Emmanuel Okwi au John Boko wakati wakiwa kwenye utimamu wao.
 
Bado nasema dube ni mshambuliaji mzuri pamoja na mapito anayopitia,,
Mpaka sasa sidhani kama Kuna namba 9 kwenye ligi nzima mwenye mchango wa magoli kwenye timu yake anayemzidi dube!
Kama yupo nitajieni,,magoli 8 na asisti 7 ni jumla ya mchango wa goli 15 kwenye timu,,sio jambo jepesi ukizingatia ndio msimu wake wa kwanza akiwa na yanga!
Kukosa kwake magoli inamtokea mchezaji yeyote uwezi kutumia Kila nafasi unayopata kwenye Kila mchezo na siku azilingani!
Bado ndio mchezaji wa kwanza kufunga hat trick kwenye ligi msimu huu kama ni rahisi wengine wameshindwa nini kufunga hat trick?
Dube namshauri asisikilize sauti za wavimba macho apige kazi na kazi yake tunaiona aendelee kupambana!
Tatizo la Dube linalomponza ni kujua kuji position. Muda mwingi yupo sehemu sahihi ya kupata magoli hivyo watu wanahisi anatakiwa afunge maana ni kugusa tu. Ni kama anawawekea watu tonge mdomoni alafu analiondoa.
Imefikia wengine wanasema Dube auzwe aletwe Sowa au nafasi yake aanze Musonda.
Sio kila anaetazama soka ni mtu wa mpira wengine ni mashabiki kindakindaki awa wengi wanafata upepo wa social media.
 
Tatizo la Dube linalomponza ni kujua kuji position. Muda mwingi yupo sehemu sahihi ya kupata magoli hivyo watu wanahisi anatakiwa afunge maana ni kugusa tu. Ni kama anawawekea watu tonge mdomoni alafu analiondoa.
Imefikia wengine wanasema Dube auzwe aletwe Sowa au nafasi yake aanze Musonda.
Sio kila anaetazama soka ni mtu wa mpira wengine ni mashabiki kindakindaki awa wengi wanafata upepo wa social media.
Kama wakati fulani Boko alikuwa hivyo.
 
Hapo unaikosea heshima timu ya Simba.

Dube ni mchezaji wa mechi ndogo ndogo na hukamia mechi na Simba.

Tangu aje ameshafunga magoli mangapi. Jee unaweza kumweka kwenye orodha ya wafungaji Bora wa ligi Kuu?

Dube hajafikia levo ya kina Fiston Mayele, Emmanuel Okwi au John Boko wakati wakiwa kwenye utimamu wao.
Wote awa uliowataja wapo level moja na Dube. Hakuna walichomzidi Dube na awazidiani kitu.
 
Tatizo la Dube linalomponza ni kujua kuji position. Muda mwingi yupo sehemu sahihi ya kupata magoli hivyo watu wanahisi anatakiwa afunge maana ni kugusa tu. Ni kama anawawekea watu tonge mdomoni alafu analiondoa.
Imefikia wengine wanasema Dube auzwe aletwe Sowa au nafasi yake aanze Musonda.
Sio kila anaetazama soka ni mtu wa mpira wengine ni mashabiki kindakindaki awa wengi wanafata upepo wa social media.
Yani umtoe dube umuweke Msonda
Huyoo kweli shabiki fuata upepo
 
Hapo unaikosea heshima timu ya Simba.

Dube ni mchezaji wa mechi ndogo ndogo na hukamia mechi na Simba.

Tangu aje ameshafunga magoli mangapi. Jee unaweza kumweka kwenye orodha ya wafungaji Bora wa ligi Kuu?

Dube hajafikia levo ya kina Fiston Mayele, Emmanuel Okwi au John Boko wakati wakiwa kwenye utimamu wao.
Zitaje hizo mechi ndogo ndogo
 
Bila shaka baadhi ya watu wangependa kumuona akiwa na muendelezo wa kufunga! Mtumiani mzuri wa nafasi za kufunga, nk.
Ataendelea kufunga tu kadri muda unavyoenda tumpe muda tumuondolee presha but so far mwendo wake sio mbaya
 
Hapo unaikosea heshima timu ya Simba.

Dube ni mchezaji wa mechi ndogo ndogo na hukamia mechi na Simba.

Tangu aje ameshafunga magoli mangapi. Jee unaweza kumweka kwenye orodha ya wafungaji Bora wa ligi Kuu?

Dube hajafikia levo ya kina Fiston Mayele, Emmanuel Okwi au John Boko wakati wakiwa kwenye utimamu wao.
Tangu aje nchini keshaweka kambani goli 52,, tupe na takwimu za mayele na okwi na misimu waliyicheza Tanzania
 
Bado nasema dube ni mshambuliaji mzuri pamoja na mapito anayopitia,,
Mpaka sasa sidhani kama Kuna namba 9 kwenye ligi nzima mwenye mchango wa magoli kwenye timu yake anayemzidi dube!
Kama yupo nitajieni,,magoli 8 na asisti 7 ni jumla ya mchango wa goli 15 kwenye timu,,sio jambo jepesi ukizingatia ndio msimu wake wa kwanza akiwa na yanga!
Kukosa kwake magoli inamtokea mchezaji yeyote uwezi kutumia Kila nafasi unayopata kwenye Kila mchezo na siku azilingani!
Bado ndio mchezaji wa kwanza kufunga hat trick kwenye ligi msimu huu kama ni rahisi wengine wameshindwa nini kufunga hat trick?
Dube namshauri asisikilize sauti za wavimba macho apige kazi na kazi yake tunaiona aendelee kupambana!
Shida ni kwamba kwenye nafasi 30 anafunga moja tu!!!
 
Iyo sio hoja kwani mechi ya Mc alger ndio mechi pekee ya kimashindano?
Ilikuwa mechi muhimu kwa mashindano makubwa. Huwezi linganisha ile mechi ya kimashindano na hizi nyingine za CRDB confederation cup, zamani Azam confederation cup
 
Bado nasema dube ni mshambuliaji mzuri pamoja na mapito anayopitia,,
Mpaka sasa sidhani kama Kuna namba 9 kwenye ligi nzima mwenye mchango wa magoli kwenye timu yake anayemzidi dube!
Kama yupo nitajieni,,magoli 8 na asisti 7 ni jumla ya mchango wa goli 15 kwenye timu,,sio jambo jepesi ukizingatia ndio msimu wake wa kwanza akiwa na yanga!
Kukosa kwake magoli inamtokea mchezaji yeyote uwezi kutumia Kila nafasi unayopata kwenye Kila mchezo na siku azilingani!
Bado ndio mchezaji wa kwanza kufunga hat trick kwenye ligi msimu huu kama ni rahisi wengine wameshindwa nini kufunga hat trick?
Dube namshauri asisikilize sauti za wavimba macho apige kazi na kazi yake tunaiona aendelee kupambana!
Angeisadia timu kufuzu robo fainali klabu bingwa Afrika
 
Back
Top Bottom