bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 9,530
- 20,988
Mbona mechi ya Mazembe huisemi?Anabahatisha😀😆😃😃
Mechi za mchangani ndiyo anashinda. Angefunga siku ya mechi na MC Alger!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mechi ya Mazembe huisemi?Anabahatisha😀😆😃😃
Mechi za mchangani ndiyo anashinda. Angefunga siku ya mechi na MC Alger!
NakaziaIyo sio hoja kwani mechi ya Mc alger ndio mechi pekee ya kimashindano?
Nakubaliana. Muendelezo ndiyo neno. Hayo magoli 8 amefunga kwenye mechi 4 tu.. katika 18 alizocheza.Bila shaka baadhi ya watu wangependa kumuona akiwa na muendelezo wa kufunga! Mtumiani mzuri wa nafasi za kufunga, nk.
Well saidYanga ilete striker wa kueleweka ikishindikana Mzize aanzie kati Dube atokee sub labda ataongeza juhudi.
Na jee hizo mechi ni ngumu kiasi gani?Nakubaliana. Muendelezo ndiyo neno. Hayo magoli 8 amefunga kwenye mechi 4 tu.. katika 18 alizocheza.
Team inacheza kwa team work sio kutegemea mchezaji Mmoja ndio aivushe hii nayo sio hoja ya msingi, Kila mchezaji angeisadia team kwa nafasi yake kwaiyo dube bado Yuko vizuriAngeisadia timu kufuzu robo fainali klabu bingwa Afrika
Kwaiyo mechi muhimu ni lazima mchezaji afunge yeye tu? Nini maana ya team work?Ilikuwa mechi muhimu kwa mashindano makubwa. Huwezi linganisha ile mechi ya kimashindano na hizi nyingine za CRDB confederation cup, zamani Azam confederation cup
Kwani ateba kapata nafasi ngapi na kafunga ngapi? Ukiondoa penalty 4 alizofunga anabaki na goli ngapi?Shida ni kwamba kwenye nafasi 30 anafunga moja tu!!!
Sasa mimi ateba wa kazi ganiKwani ateba kapata nafasi ngapi na kafunga ngapi? Ukiondoa penalty 4 alizofunga anabaki na goli ngapi?
Basi nyamaza heshimu anachokifanya dube ata kama ni kidogo wengine wameshindwa ata icho kidogoSasa mimi ateba wa kazi gani
Kwa hiyo hata akija mchezaji msimu mzima kafunga goli moja naye aheshimiwe tuBasi nyamaza heshimu anachokifanya dube ata kama ni kidogo wengine wameshindwa ata icho kidogo
Kwani dube kafunga goli Moja msimu mzima? Labda nikuulize kidogo ulishacheza Mpira?Kwa hiyo hata akija mchezaji msimu mzima kafunga goli moja naye aheshimiwe tu