Mgawa like anaitwa @raree , ana roho nzuri sanaKila mtu anajiunga JF kwa interest zake, kuna yule jamaa wa kugawa LIKE kila post na kuna Extrovet na yeye ana ya kwake, wengine ni waanzisha nyuzi ndefuuu, wengine wanapenda kukomenti kila post, wengine wanapenda kukosoa kila post ili mradi tu apunguze stress zake aifurahishe nafsi yake, kuna yule mmoja kila mwanamke kampitia, yule mwingine Kasinde yeye ana mambo yake, basi raha tu
Kumbe unatisha hivi bestie hadi unafunguliwa uzi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mamboz[emoji7]
Nyuzi na maoni ninayotoa huwa yanafuatiliwa kwa karibu na huyu Extrovert sijui lengo lake ni nini isije ikawa ni mzee wa Nissan Nyeupe.
Vijana wameamua kuniweka kwenye list of uknown🤣 ila mi ni mtu wa Mungu tu!Kumbe unatisha hivi bestie hadi unafunguliwa uzi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah 🤣🤣🤣 ningekuwamo mtu asiyejulikana ingekuwa balaaPouwaaa,, kumbe wewe ni mtu usiyejulikana na hausemi😊🙈
Kumbe ni TissMamboz[emoji7]
Si ndo alivyosema mleta mada jamani 😃😃Dah 🤣🤣🤣 ningekuwamo mtu asiyejulikana ingekuwa balaa
Shikamooo brother!!!!usiejulikanaaDah [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ningekuwamo mtu asiyejulikana ingekuwa balaa
Acha uogaNyuzi na maoni ninayotoa huwa yanafuatiliwa kwa karibu na huyu Extrovert sijui lengo lake ni nini isije ikawa ni mzee wa Nissan Nyeupe.
Sijui aliwaza nini yani😀 kwa bamutu ba Mungu.Si ndo alivyosema mleta mada jamani 😃😃
Kwakweli,,, leo nlikua nakufuatilia na mimi😌,, sijui nikuanzishie siledi 🙈🙈Sijui aliwaza nini yani😀 kwa bamutu ba Mungu.
Pamoja na raraa reree .Jina lake limenitoka, jamaa huwa sio mchoyo, sijawahi kumuona kampa mtu DISLIKE yeye anagawwa tu hahaha anaitwa mkwepu jr
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vijana wameamua kuniweka kwenye list of uknown[emoji1787] ila mi ni mtu wa Mungu tu!
Vijana wameamua kuniweka kwenye list of uknown🤣 ila mi ni mtu wa Mungu tu!