Huyu Extrovert wa JamiiForums ni mtu asiyejulikana?

Huyu Extrovert wa JamiiForums ni mtu asiyejulikana?

mwamba ni mtu poa sana hana mambo mengi japo ukimzingua kubali kuzingulia pia.

Kiufupi DeepPond na huyu mwamba nawakubali sana.
 
Kila mtu anajiunga JF kwa interest zake, kuna yule jamaa wa kugawa LIKE kila post na kuna Extrovet na yeye ana ya kwake, wengine ni waanzisha nyuzi ndefuuu, wengine wanapenda kukomenti kila post, wengine wanapenda kukosoa kila post ili mradi tu apunguze stress zake aifurahishe nafsi yake, kuna yule mmoja kila mwanamke kampitia, yule mwingine Kasinde yeye ana mambo yake, basi raha tu
Ndio raha ya JFs ati.
 
Acha woga dogo huyo ni mchizi wangu kinyama wala hana mambo mengi.

Halafu we una nyuzi gani za kutishia usalama hata wa mtaa kama panyaroad
Mkuu umesahau tu. Enzi zile watu walisakamwa hata vitu vidogo tu mradu tu uwaudhi wenye chama chao
 
Lyrics

… Rafiki yangu alikuja nyumbani,
Kunielezea shida Fulani,
Ati alifukuzwa kazini na hajui atafanya nini,
Mke wake amemutoroka,
Rafiki zake wanamcheka,
Shida amepata nyingi amechoka,
Dunia anajuta.
… Acha kulia, shida za dunia,
Hebu tulia mungu anakujali pia, x2
Maisha mwendo ni pole,
Ukipata shida leo usikonde,
Wengi wako kama wewe usijali,
Acha kulia ni Maisha makali,
Tazama kwanza uone kesho,
Usikonde uwape kichekesho,
Maisha itakuwa na matatizo,
Uombe mungu,
Atakupa uwezo,
… Acha kulia, shida za dunia,
Hebu tulia mungu anakujali pia, x2
Hizo shida usifikirie uko nazo pekee yako,
Labda mungu anakuletea kesho,
Huwezi jua kama leo siyo yako,
Kwa hiyo, masikini usikonde,
Labda kesho utapata,
Mungu alipanga maisha kakaraka,
Tunapanga naye anapanga,
Shida za dunia ninakwambia.
… Acha kulia, shida za dunia,
Hebu tulia mungu anakujali pia, x4
… Acha kulia(acha kulia)
Shida za dunia(shida za dunia)
Hebu tulia(hebu tulia)
Acha kulia(eeeh eeeeh eeehh)
Shida za dunia, (eeeeh eeh ehhhh)
Hebu tulia(eeeeeh eeeh eeeeeeh)
Mungu anakujali pia(eeeeh eeeh eeeh eeeh)
Rafiki yangu alikuja nyumbani, (acha kulia)
Kunielezea shida Fulani, (shida za dunia)
Ati alifukuzwa kazini na hajui atafanya nini, (shida za dunia)
Mke wake amemutoroka, (mungu anakujali pia)
Rafiki zake wanamcheka, (acha kulia)
Shida amepata nyingi amechoka, (shida za dunia)
Dunia anajuta.(mungu anakujali pia)
 
Back
Top Bottom